Pilitoni JF-Expert Member Jul 11, 2011 1,190 497 Jun 8, 2013 #1 Bajeti ya elimu imepitishwa,sijaona makeke ya mr zero bungeni licha ya kuweweseka sana kabla ya bunge au ni aibu
Bajeti ya elimu imepitishwa,sijaona makeke ya mr zero bungeni licha ya kuweweseka sana kabla ya bunge au ni aibu
H HAMY-D JF-Expert Member Sep 18, 2011 7,149 3,817 Jun 8, 2013 #2 Nimeweka CV ya Mbowe hapa Mods wameiondoa, huyo Mbowe kwenye elimu hana cha kuchangia.
sungura1980 JF-Expert Member May 20, 2013 1,909 1,210 Jun 8, 2013 #3 HAMY-D said: Nimeweka CV ya Mbowe hapa Mods wameiondoa, huyo Mbowe kwenye elimu hana cha kuchangia. Click to expand... Weka na ya Prof Maji marefu,Juma Nkamia,Mwigulu,Komba maana nao pia hawakuchangia!Husisahau kuweka na bibie Vick Kamata!
HAMY-D said: Nimeweka CV ya Mbowe hapa Mods wameiondoa, huyo Mbowe kwenye elimu hana cha kuchangia. Click to expand... Weka na ya Prof Maji marefu,Juma Nkamia,Mwigulu,Komba maana nao pia hawakuchangia!Husisahau kuweka na bibie Vick Kamata!