May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Comment za Wana JF wengi inaonesha ni kiasi gani JF imejaa Wahuni.
Ni ngumu sana kupambana na Mtu ambaye wewe wala huwezi kuona au kutaka kumsababishia madhara mabaya au hata kifo, ingekuwa unapambana na Mtu Mstaarabu ambaye mkibadilishana ngumi mbili tatu mambo yataishia hapo...lakini Mtu kama Chidi stori zake zinajulikana...wale si aina ya Mtu wa kumpuuza kirahisi.
Wewe jiulize kwa nini Jamii ya Wamarekani Weusi kuna visa vingi vya kuuwana kwa risasi?...hamuoni ya kwamba hali ingekuwa hivyo hivyo hata huku kwetu kama bastola zingekuwa zinapatikana kirahisi?.
Ni ngumu sana kupambana na Mtu ambaye wewe wala huwezi kuona au kutaka kumsababishia madhara mabaya au hata kifo, ingekuwa unapambana na Mtu Mstaarabu ambaye mkibadilishana ngumi mbili tatu mambo yataishia hapo...lakini Mtu kama Chidi stori zake zinajulikana...wale si aina ya Mtu wa kumpuuza kirahisi.
Wewe jiulize kwa nini Jamii ya Wamarekani Weusi kuna visa vingi vya kuuwana kwa risasi?...hamuoni ya kwamba hali ingekuwa hivyo hivyo hata huku kwetu kama bastola zingekuwa zinapatikana kirahisi?.