Mr Tariq wa ‘Kuku Farms’ kuendelea na biashara yake

Shikamooni wakubwa zangu hapa JF

Moja kwa moja twende kwenye bandiko letu.

Baada ya kesi kuisha karibia Bilion 7 kuchukuliwa na Serkali muda si Muda naona kijana mwenzetu anaendelea na biashara yake Kama kawaida.

View attachment 1684121

Wale wawekezaji pia wanaendelea kufanya uwekezaji kama kawaida bila shaka amepata funzo.

Hii biashara ya ufugaji nakukusanya pesa za watu ili uwafugie sidhani kama litaisha salama.

Ufugaji ni risk sana kufumba nakufumbua unaweza ukapoteza kuku banda zima.
Uzuri ni kwamba wajinga hawaishi,Mkuu Tariq endelea kuwabamiza MABUMUNDA.
 
like seriously unadhani mimi katika maisha yangu yote niliwahi kukaa chini na kufikiria kuuza duka?

how about a startup?

mawazo yako mafupi ndio umasikini wako.
kama mawazo yako ni kuuza duka basi sawa.
A startup in Tanzania ???

Okay, keep dreaming.
 
A startup in Tanzania ???

Okay, keep dreaming.
well that's your opinion.

actually mimi sijawahi kuwa na dream wala sioti.
utakuwa na dream only kama unalala.
na ukishalala basi kutakuwa hakuna utekelezaji hivyo msemo wako wa keep dreaming utakuwa unamake sense.

so to me it doesn't make anysense when you say keep dreaming. it's like I don't even know what you talking about.
so you're wrong.

pretty sure hujawahi kuona startup in tanzania well first time for everything.
I know that nobody can do it but I can.

ulichoandika ni sawasawa na unaposema kwakuwa katika kijiji chetu masikini hakuna mtu amewahi kumiliki nyumba na mimi sijawahi kumiliki nyumba hivyo hakuna mtu atakaye weza miliki nyumba katika kijiji hichi.
well sawa lakini hiyo haimaniishi kwamba watu hawatoweza kumiliki nyumba katika hicho kijiji.
 
sidharau kuajiriwa ila nashangaa wanaolaumu serikali kuhusu ajira na kuona bila ajira hawatoweza kuishi.
pia kudharau biashara kama anazofanya huyo jamaa na kutegemea kuibuka from knowhere na mafanikio bila kuanzia chini..
pia siwadharau bali nawashangaa jinsi bongo zao zinavyofanya kazi sababu bongo zao zimelala mno.
kuna fursa nyingi sana za maana kama utaweza kuzikuza kwa kutumia akili na zina mafanikio makubwa kuliko kuajiriwa na kulipwa mill2.

mkuu huyo jamaa akijaza hizo nafasi za kuku tayari ana 1.5 billion za kitanzania sasa hapo utalinganisha na million 2 za mwezi na bill1.5?
huyo mfanyakazi aliyeajiriwa hatoweza kufikiria kuingiza billion 1.5 mpaka mwisho wa maisha yake.
sasa kama yeye analipwa mill2 unadhani boss wake anaingiza bei gani nadhani ni mara 100 ya mshahara wa wafanyakazi yake.

sidharau ajira ila nashangaa wanaolilia ajira kwamba bila ajira basi wao hufa masikini.

pia bishara zinatofautiana huyo anayepata laki 600,000 labda biashara ni ndogo pia kumbuka kuna walioajiriwa wanaolipwa 150,000 au laki 3.
na huyo muajiriwa anayelipwa mill2 kwa mwezi kumbuka kuna wafanya biashara wanaoingiza mill5 kwa wiki.
Kila mmoja afanye anachokiona kinamfaa katika maisha yake. Watu wasilazimishe kufanana.
 
Kila mmoja afanye anachokiona kinamfaa katika maisha yake. Watu wasilazimishe kufanana.
kila mtu angekuwa anafanya anachokitaka basi duniani pasingekalika ndio maana kuna sheria, dini na viongozi sababu watu wengi wanahitaji kuongozwa na kuambiwa kipi sahihi na kipi sio sahihi na hao wachache wanaojitambua ili dunia ikae kwenye mstari.

uko sahihi. pia mimi sijawahi kumlazimisha mtu cha kufanya wala kufanana ila bado kuna watu wanalazimisha wengine sio cha kufanya tu na kufanana bali wanalazimisha kipi cha kufikiria.
 
Kwa ninavyo Sikia Huyu jamaa ni mpigaji mkubwa kwa mantiki hii

Nasikia kala njama na hao wanadai kuwa wamentaifisha kawaachia billion kadhaa na yeye kaondoka na kadhaa tena karudi kwaajili ya upigaji mwingine

Mjini akili kijijini nguvu
 
Kwa ninavyo Sikia Huyu jamaa ni mpigaji mkubwa kwa mantiki hii

Nasikia kala njama na hao wanadai kuwa wamentaifisha kawaachia billion kadhaa na yeye kaondoka na kadhaa tena karudi kwaajili ya upigaji mwingine

Mjini akili kijijini nguvu
Umesikia wapi eeeh????
 
Back
Top Bottom