kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,059
- 4,867
Kwan me n kibakuli nani ana akili snSasa hivi kidogo Una akili
Kwan me n kibakuli nani ana akili snSasa hivi kidogo Una akili
Hta mm nashangaa!!
Sio kweli 2007 Marco alichukua tuzo ya kili ni moja ya prodyuza wa sasa aliye na consistent .Unaweza ukawa bora hata kama usipo win Marco he is among of best bt tuzo hajawah pewa
Pfunky aka baba wa midundo, lazima uchezeshe kchwa au kamguu ukisikia midundo,Laizer wa WCB nae wamo...
Ila bado hakuna atakayemfikia Legendary Pfunky Majani...
Hatajuta or atajuta?Hawa ma producer wana hit kwa kupokezana wasanii yaan utashangaa kila msanii anaenda kwa producer mmoja kila producer anakuwa na mwaka wake
Lamar
Marco Chali
Bob jr
Man walter
Maneck
Sheddy Clever
Emma the boy
Tudd Thomas
Nahreal
Naona sasa ivi n zamu ya Mr T Touch asipopiga ela kipindi ichi hatajuta
Ila combination yke na ney wa mitego ndo inafaa zaidi
Ila beat za t touch ni balaa Kama chafu pozi na too much zile beat ni shidaNaunga mkonyo hoja, jamaa ana kazi nyingi nzuri mwakahuu na mwakajana, anafuatiwa kwa ukaribu na Mensen Selekta. Ila hao wote wanatamba kwavile 'Babalao' Nahreel yuko bize na show tangu atoe kamatia chini, hivyo hana mda sana wa kuproduce
Kwa kweli mzee jamaa anagonga midundo yooote aysee n hatar sana huyu mtu kwa sasa.Mr t_touch awali alikuwa akifanya kazi na nay wa mitego katika studio za free nation ila aliamua kuondoka na kuanzisha studio yake inayojulikana Kama 'Touchez soud'
Touch ametayarisha asilimia kubwa ya nyimbo za nay wa mitego na kuondoka kwake ni pigo kubwa kwa msanii huyo.
Hizi ni baadhi ya nyimbo alizotengeneza siku za karibuni
1.angejua (dayna nyange)
2.chafu pozi (billinass)
3.Too much (DARASA)
4.Raha jipe mwenyewe (linah sanga)
5.jike shupa (nuh mziwanda)
Hizo ni chache ila zipo nyingi
Namtakia kila la kheri katika safari yake hii [HASHTAG]#touch[/HASHTAG] touch
Nah real yuko poa ila ni kwa aina flan hivi za ngoma peke yake bt touch anagusa kila mahali waskize fresh Mkuu.UNAMUACHAJE NAH REAL THE BEST PRODUCER KWASASA HAPA BONGO
Umeongea ukweli mtupu mkuuLaizer wa WCB nae wamo...
Ila bado hakuna atakayemfikia Legendary Pfunky Majani...
wala nasemea aje ya al k - uje neyba - kanir0ge al nipshe achana na k0k0roKwa kokoro bado ngoja tumpe mda