Elections 2010 Mr. Sugu ashinda kura za maoni ubunge CHADEMA - Mbeya mjini

ni kweli kujua uwezo wake,
lakini mtaupimaje uwezo wake juu ya ugombea wake au mnamaanisha uwezo wa kimuziki?
na kama ni uwezo wa uongozi, hilo nadhani ni jungu tu bila ubishi, kina kikwete uwezo wa kuwa raisi
ulipimwaje, nadhani hakuna mzoefu bila kupitia mwanzo, mtu hazaliwi mzoefu, uzoefu huukuta pahali anapofanyia kazi...................go go Mr.Sugu

Kwani sugu kafanya muziki tu? Hata huko katika muziki hamna opportunities za kuonyesha leadrship skills? Si tayari tunaona watu wanaeleza alivyoshikia swala la hakimiliki bango?

Leader anajulikana popote pale. Tatizo mtu ukiuliza wanaomjua watoe habari unaonekana kama unataka kumchimba.

Mimi binafsi ningependa kuona watu kama Sugu wanaingia mjengoni, yule anaweza kuleta matumaini kwamba kufokeana na status quo ataweza, culture nzima ya Hip Hop iko katika kubishana na status quo.

Kikwete kupita bila kuwa vetted ni tatizo tulilofanya, sasa tusirudie kufanya kosa hilo tena. Two wrongs do not make a right.Ukikosea mwanzo, kosa la mwanzo halihalalishi kurudia kosa.
 
Back
Top Bottom