Teh Teh Teh
Member
- Nov 13, 2009
- 41
- 9
Joseph Mbilinyi, Mr. Sugu, maarufu kwa jina hilo, ukipenda Mr.II. Ameshinda katika kura za maoni yaliyofanyika Mbeya Mjini za CHADEMA za kumtafuta Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA.
Ameibuka kwa kupata kura 175 akifatwa na Mponzi aliyepata kura 125 huku Gwakisa akiachwa mbali kwa kura 6.
Jana Jiji la Mbeya lilirindima kwa furaha kubwa hali iliyotafsiriwa kuwa ni ushindi kwa CHADEMA.
CCM ina hali ngumu leo kuweza kumchagua ni nani ambaye anaweza kuchukua Jimbo hilo, ambalo tayari CHADEMA -Mbeya wametupa karata yao vizuri.
Mr. Sugu amefungua ukurasa mpya lwa kuweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza maarufu kugombea Ubunge kupitia CHADEMA.
Hongera sana Mr. Sugu.
Hongereni CHADEMA.
Ameibuka kwa kupata kura 175 akifatwa na Mponzi aliyepata kura 125 huku Gwakisa akiachwa mbali kwa kura 6.
Jana Jiji la Mbeya lilirindima kwa furaha kubwa hali iliyotafsiriwa kuwa ni ushindi kwa CHADEMA.
CCM ina hali ngumu leo kuweza kumchagua ni nani ambaye anaweza kuchukua Jimbo hilo, ambalo tayari CHADEMA -Mbeya wametupa karata yao vizuri.
Mr. Sugu amefungua ukurasa mpya lwa kuweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza maarufu kugombea Ubunge kupitia CHADEMA.
Hongera sana Mr. Sugu.
Hongereni CHADEMA.