Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,039
- 158,715
Kumbe inauma eeh!! Mie mwenyewe matusi alonitukana sina hamu nae kabisaaa.
Kumbe inauma eeh!! Mie mwenyewe matusi alonitukana sina hamu nae kabisaaa.
Haya superstar...yule babu uache kubebishana naye haraka...sijawahi kuitwa majina matatu yanayofanana superstar.Ewaaaaa
Ucome upesi le superstar wanguu kipenzi
Nani amekutukanaKumbe inauma eeh!! Mie mwenyewe matusi alonitukana sina hamu nae kabisaaa.
Hahaha hahaha hahahaHaya superstar...yule babu uache kubebishana naye haraka...sijawahi kuitwa majina matatu yanayofanana superstar.
Nishacome.
Yule mzee ashaniharibia...Hahaha hahaha hahaha
Usiniambie uko na wivu kwa yule mzee!
Umecome na nini superstar kipenzi
Utakuwa sio muumini wa matusitusi kwenye nyimbo kama mieAisee hakuna wimbo wake hata mmoja ninaoupenda.
Sio kwamba kiingereza kinakupiga chenga kama yule anko pale Magogoni mkuu??
Kweli kabisa, ndio maana huwa siwaelewi hawa watoto wa wcb wanachoimba.
SAFI SANA kwa kumjua iglesias hakuna nyimbo yake ambayo sina... itafute moja inaitwa do you know kwa spanish inaitwa dimelo asee huyu anakipaji sana kuna binti anaitwa alan walker na victoria justice wapo vizuri pia wanaimba kwa jisia sanaUnamjua Enrique Iglesias baby? Akiimba nyimbo za kubembeleza adi una data... kuna My number one na Hero noma sana
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Uko sahihi kabisaSio kwamba kiingereza kinakupiga chenga kama yule anko pale Magogoni mkuu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kweeli jamaniiYule mzee ashaniharibia...
Na vyote superstar.
Asa umecome vipi na vyote superstar kipenziYule mzee ashaniharibia...
Na vyote superstar.
Hahaha...superstar you are naughty.Asa umecome vipi na vyote superstar kipenzi
Kaka yako.
Hahaha hahaha hahahaHahaha...superstar you are naughty.
Unataka nije vipi tena? Hahaha
Superstar huu mbebisho wako kweli wa kisuperstar.Hahaha hahaha hahaha
Unataka niseme hapa venye unatakiwa kucome?!
Kweli kabisa, ndio maana huwa siwaelewi hawa watoto wa wcb wanachoimba.
My only superstar!Superstar huu mbebisho wako kweli wa kisuperstar.