XASKEYGY
Senior Member
- Mar 29, 2020
- 127
- 101
Habari wana JF.
Naomba na Mimi nitoe yangu ya moyoni kidogo maana kila nikipita huku ndani nakuta watu wakimuongelea tu rais wetu kwa hatua anazochukua kuhusu hili janga la Corona.
Wengine wakimpongeza na wengine wakiponda lakini inaonekana wanaoponda ni wengi kukiko wanao support.
Ila wacha niwaambie kitu kimoja Watanzania wenzangu ambacho huwenda wengi wakabeza na kukejeli.
Ipo siku tutakuja kujua Hekima aliyotumia Rais wetu mpendwa katika kupambana na hili janga.
Na naamini watu wote walio na uadilifu na kupenda kuondea ukweli.
Watajitokeza na kumpa pongezi na kupewa tuzo.
Naomba kuwasilisha.
Naomba na Mimi nitoe yangu ya moyoni kidogo maana kila nikipita huku ndani nakuta watu wakimuongelea tu rais wetu kwa hatua anazochukua kuhusu hili janga la Corona.
Wengine wakimpongeza na wengine wakiponda lakini inaonekana wanaoponda ni wengi kukiko wanao support.
Ila wacha niwaambie kitu kimoja Watanzania wenzangu ambacho huwenda wengi wakabeza na kukejeli.
Ipo siku tutakuja kujua Hekima aliyotumia Rais wetu mpendwa katika kupambana na hili janga.
Na naamini watu wote walio na uadilifu na kupenda kuondea ukweli.
Watajitokeza na kumpa pongezi na kupewa tuzo.
Naomba kuwasilisha.