technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Kawaida kabisahivi wanaozusha taarifa za kifo huwa wanawaza nini?
Kwanini?Azidishe maombi sana.
Sijui angetoka kwenye jeneza na kuja kukanusha?Kwa hiyo amekanusha kuwa hajafa, angekufa angedhibitisha kuwa amekufa?
Kuzushiwa kifo siyo mchezo.Kwanini?
Ni upepo tu, unaovuma. Hauwezi kuelewa chimbuko lake.hivi wanaozusha taarifa za kifo huwa wanawaza nini?
I would let -ve be -ve, but i won't let +ve be -veKwa hiyo amekanusha kuwa hajafa, angekufa angedhibitisha kuwa amekufa?
nimekuelewa mkuu lakini ndoto haziwezi kukutabiria 100% ukweli kuna ndoto za uongo piaNi upepo tu, unaovuma. Hauwezi kuelewa chimbuko lake.
Mara nyingi husababishwa na ndoto za mtu.
Mtu huyo huota kifo cha anayezushiwa, kisha husimulia ndoto ile.
Msikilizaji ndiye huanza kuzusha uvumi. Ni mambo ya imani ama maono ya kiroho zaidi.
Vumi nyingi za namna hiyo hupelekea kutokea ukweli siku za usoni kwa nyakati hizo.
Chunguza na utafakari, uvumi mwingi uhusuo maisha ya mtu, huja kutokea ukakanushwa na mtu akawepo hai kweli, lakini haipiti muda mrefu, mtu huyo hufariki.
Mfano ni wa marehemu Samuel Sitta.