Kuna mista no makila kitu ndio kwasasa amekuwa nahodha. Yan anawavuruga mbaya kwa kigezo kuwa hana chakupoteza.Kama Ni kweli, kwanini cheamani asiingie mzigoni mwenyewe ili apate hao wabunge 20? Mbona 2015 asilimia kubwa aliongea yeye na siyo White hair?
yes agombee hakuna anayemkataza.We hujui ndo kateuliwa na tume kama mgombea?
Mwanzoni nilidhani unaweza kuwa unaaminika. Baada ya kusoma hapa, lol, kumbe imetoka kwa mbogamboga!!Kabisa kaka. Tuangalie mechi Ila naona tinu pinzani imeshafungwa goli 4 kipindi hiki cha kwanza. Sijui watakuja na maajavu kama ya Man U ya Fergie kipindi hiki cha pili?
Halafu hata boli pozisheni wamezidiwa Sana halafu Wana majeruhi kibao.
Ila utawasikia, ooh refa kapendelea, ooh uwanja una mashimo Yan hawaishiwi hawa
Wacha bwanaTundu Lissu kawashika MATAGA kunako dadeki!!
Umenikumbusha wale wadada wa kiingereza walioimba "things will never be the same again"Navuta taswira kuangalia mtifuano utakaotokea pale cheamani atapotaka kujilipa kibabe (kama ilivyo kawaida yake) ruzuku kiduchu watakayopata mwakani. Things'll never be the same after 28/10.
Kachero amevimba si kitoto, anatema mate mithili ya kobrasasa Membe atamletea nani vurugu??
Wanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).
Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.
Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".
Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.
Tusubiri
Bado wanalikoroga, hawajaanza kulinywa. Subiri kidogo, watalinywa tuu hata kwa kuwapanua mdomoWalikaribisha kirusi wenyewe, kama vile hawawajui ccm! Ndo walinywe sasa
Pumba tupuKuna watu watatema ndoano hivi punde
Ndo taarifa hiyo jombiiMwanzoni nilidhani unaweza kuwa unaaminika. Baada ya kusoma hapa, lol, kumbe imetoka kwa mbogamboga!!
Ndio yule kiongozi wa malaika mbinguni?Sina hakika. Huyu Machi No n kuwa yeye anawakrashi wenzake na kujiona anajua vyote na kuwa yeye n maarufu zaidi ya msumbawanga. Sidhani Kama umachi noo wake umepelekea kudhulumu uhai
Eti "Mpeperusha fulagi"Wanabodi,
Tujiandae kusikia chochote kutoka kwenye viunga vya siasa za Upinzani. Bundi ametua kwenye mti wa mzambarau halafu akaruka na kwenda kutua mti wa msumbawanga (taja kabila).
Kule kwenye mti wa mzambarau, kachero hashikiki hatamaniki. Unaambiwa amevimba Kama koboko. Kasema Kama mbwai na iwe mbwai yeye ndie mpeperusha fulagi. Nyepesi anahahasa kutaka suluhu ila kachero hataki kusikia ukizingatia keshaingiza pensheni yake huko kununua mbolea na viatilifu vingine vya kuukuza mti wa mzambarau.
Kule kwenye mti wa msumbawanga, unaambiwa Mr. Know Ol hafuati maelekezo Wala utaratibu. Amesema yeye ni alwatan almaarufu. Yeye ndio kajiweka juu ya kila kitu na ndio maana inasemekana cheamani na KM wamesusa kimtindo. Mr No Everithingi anaonekana kuwa mzoefu wa mapambano ya kipontio Pilato ila n mwepesi mithili ya unyoya wa kuku yanapokuka masuala ya kikaisari. Cheamani alisikika akisema "mwaka huu Kama nitapata wabunge 20 itakuwa muujiza".
Haya jogoo ameshawika, upande wa pili wazee wa mchicha, matembele, sukumawiki na spinachi nasikia mambo yao kwatu. Wanateleza Kama wako kwenye mgongo wa ngisi. Sasa hivi wamekodisha mwewe wanampanda na amewaongezea umaarufu.
Tusubiri
Upuuzi mtupuNasikia Kuna mgombea anajua kila kitu kuliko wanachama wote wakiwekwa pamoja. Viongozi wake wameanza kumsusa
Deal ilijionyesha mwanzo,mapokezi makubwa ya kinafiki na kumteua ghafla bila mshindani,walikuwa wanatafuta kuchomoa pesa zake.Lakini nayeye kawakamata pabaya anaweza AKAKINUKISHA.Na utakuta wameshamramba hela nyingi sana