Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Mkuu wa mkoa wa Dar, Mh. William Lukuvi ametoa tamko kwamba kuanzia mwaka kesho haitaruhusiwa mwanafunzi wa wilaya fulani kusoma shule iliyotofauti na shule zilizopo ndani ya wilaya aliyomo mwanafunzi husika!
Kwa mazingira ya Dar es Salaam ambapo wakzi wengi ni wakuja na hivyo wapangaji ni wengi, leo Temeke, kesho Ilala keshokutwa Kinondoni kutegemeana na hali ya kodi ya pango. Does he need kumwamisha mtoto kila unapohamia new home?
Je mkuu wa Wilaya ya Temeke anaishi Temeke kweli? Ilala je? na wakuu wote wa idara za serikali na taasisi ngazi ya wilaya na halmashauri wanaishi ndani ya wilaya zao kweli ama wote wamejibana ndani ya Kinondoni na kupelekea kodi kuwa juu sana ndani ya wilaya ya Kinondoni
Nafikiri mkuu wa kaya yetu ya Dar anahisi bado yuko Dodoma ambapo ukiwa Bahi, wewe ni Bahi tu au ukiwa Chamwino basi wewe ni Chamwino tu!
NI MTAZAMO TU LAKINI
Kwa mazingira ya Dar es Salaam ambapo wakzi wengi ni wakuja na hivyo wapangaji ni wengi, leo Temeke, kesho Ilala keshokutwa Kinondoni kutegemeana na hali ya kodi ya pango. Does he need kumwamisha mtoto kila unapohamia new home?
Je mkuu wa Wilaya ya Temeke anaishi Temeke kweli? Ilala je? na wakuu wote wa idara za serikali na taasisi ngazi ya wilaya na halmashauri wanaishi ndani ya wilaya zao kweli ama wote wamejibana ndani ya Kinondoni na kupelekea kodi kuwa juu sana ndani ya wilaya ya Kinondoni
Nafikiri mkuu wa kaya yetu ya Dar anahisi bado yuko Dodoma ambapo ukiwa Bahi, wewe ni Bahi tu au ukiwa Chamwino basi wewe ni Chamwino tu!
NI MTAZAMO TU LAKINI