Mr Kikwete Hongera sasa umegundua si haba Inshaallah tutafika!

Pharaoh

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
843
157
Leo Presidenti JK amekiri kuwa kumbe kuna aina fulani ya mikataba ndio isainiwe na nchi mbalimbali ili vijana wenzetu wapati kwenda nchi za nje kikazi na kupata kujifunza mengi kabla ya kurudi kujenga nyumbani.

Sisi tulihangaika sana nchi za nje kutafuta kazi, lakini miaka hiyo wenzetu wa nchi nyingine walipewa vibali haraka, sisi watanzania tuliambiwa nchi yenu haipo katika idadi ya nchi yenye mikataba ya kuleta nguvukazi, mfano ulaya waliokuwa wanapeta ni raia toka Bangladesh, Ghana, Kenya, Misri, Morocco, Nigeria, Senegal, India, Brasil, Ufilipino na nyingine nyingi tu.

Jk amekiri Tanzania ilikuwa nyuma kwa hilo, Hongera.

pia amekiri kiswahili hakitupeleki popote, Hongera.

Mimi nitakuwa naongea English nyumbani kwangu, potelea mbali wajinga wanisema bishoo.
 
Pharaoh,

..haya masuala alitakiwa ayatambue na kuyashughulikia wakati akiwa Waziri wa Mambo ya Nje. Kumbuka aliongoza wizara hiyo kwa miaka 10.

..kuhusu suala la Kiingereza vs EAC, again wakati wa utawala wa Mkapa, masuala ya jumuiya yalikuwa chini ya wizara ya mambo ya nje. JK ndiyo alikuwa akiyashughulikia. Kama leo hii wa-Tanzania tunadhani we r getting a bad deal ni kwasababu ya uzembe wa JK.
 
Nimemsikia ,akisema Wanaume wanapika Hotelini wakifika nyumbani hawapiki wanadai chakula kwa wake zao pia wanatandika Vitanda Mahotelini lakini nyumbani wanataka watandike ,kisa wanapata Mshahara hawataki kazi za bure.
 
Hahahahah,hilo la kingereza ungelianzia hapa jamvin,ila pia wachina je?halafu jk hajui kukataa ni mtu wa kukiri ,kwahyo usidhani kuwa anaweza kulitatua hlo uliwazalo kwa haraka
 
Nimemsikia ,akisema Wanaume wanapika Hotelini wakifika nyumbani hawapiki wanadai chakula kwa wake zao pia wanatandika Vitanda Mahotelini lakini nyumbani wanataka watandike ,kisa wanapata Mshahara hawataki kazi za bure.

ye aliutaka urais kwa kujitolea?
 
Pharaoh,

..haya masuala alitakiwa ayatambue na kuyashughulikia wakati akiwa Waziri wa Mambo ya Nje. Kumbuka aliongoza wizara hiyo kwa miaka 10.

..kuhusu suala la Kiingereza vs EAC, again wakati wa utawala wa Mkapa, masuala ya jumuiya yalikuwa chini ya wizara ya mambo ya nje. JK ndiyo alikuwa akiyashughulikia. Kama leo hii wa-Tanzania tunadhani we r getting a bad deal ni kwasababu ya uzembe wa JK.
Unakifahamu kitu kinaitwa maamuzi ya pamoja labda hata kwa kumsikia mdogo wako wa shule ya kata akizungumzia????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom