Observer2010
Senior Member
- Oct 29, 2010
- 195
- 44
Mbunge wa Mbeya mjini, aka Sugu ameandaa Tamasha kubwa litakaloshirikisha wasanii mbalimbali km Mchizi Mox, Mkoloni, Adili na wengineo wengi kwenye viwanja vya Rwanda Nzovwe. Kiwanja ambacho Chadema walifungia kampeni zao za uchaguzi jijini Mbeya. Hilo tamasha litakuwa free kwa yoyote yule na litaanza saa 4 asubuhi mpaka usiku wa manane.
Hii imekaaje wadau ?
Hii imekaaje wadau ?