Mr. Bluu ana kesi gani mahakama ya wilaya Kinondoni?

kimpango

JF-Expert Member
Apr 24, 2011
600
716
Jana Ijumaa 9th june 2017 nilimuona msanii Mr Bluu akiwa mahakama ya wilaya ya Kinondoni analia baada ya kushushwa kwenye karandinga la polisi , pia nikaona watu nadhani ni ndugu zake wakiwa wamechanganyikiwa kuwauliza hawakunijibu ..lakini kwa uzoefu wangu ni criminal case kwa anaejua mtu huyu ana kesi gani?...kumbuka nahoji kwa kuwa yeye ni kiooo cha jamii na mimi ni mmoja wa wana jamii na hii ni jamii forum!!!!!!!
 
Jana ijumaa nilimuona msanii Mr Bluu akiwa mahakama ya wil;aya ya kinondoni analia baada ya kushushwa kwenye karandinga la polisi , pia nikaona watu nadhani ni ndugu zake wakiwa wamechanganyikiwa kuwauliza hawakunijibu ..lakini kwa uzoefu wanu ni criminal case kwa anaejua mtu huyu ana kesi gani?...kumbuka nahoji kwa kuwa yeye ni kiooo cha jamii na mimi ni mmoja wa wana jamii na hii ni jamii forum!!!!!!!
Kioo cha kubugia maunga??
 
Huyo ni wa ngano ya Brazil wakati anatafutwa alikuwa nje ya nchi kwa kazi zake . Kumbukumbu zinaonesha alikuwa Oman.
Na tulikuwa hatujamuweka kwenye mikono salama ila sasa tayari.

Ila labda anamajanga mengine maana vijana wa siku hizi hakawii kusababisha zengwe kitaa.
 
Jana ijumaa 9th june 2017 nilimuona msanii Mr Bluu akiwa mahakama ya wilaya ya kinondoni analia baada ya kushushwa kwenye karandinga la polisi , pia nikaona watu nadhani ni ndugu zake wakiwa wamechanganyikiwa kuwauliza hawakunijibu ..lakini kwa uzoefu wangu ni criminal case kwa anaejua mtu huyu ana kesi gani?...kumbuka nahoji kwa kuwa yeye ni kiooo cha jamii na mimi ni mmoja wa wana jamii na hii ni jamii forum!!!!!!!
Hahahaaaaa ulitaka kushuka verse hapo mwishoni
 
Back
Top Bottom