supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,451
- 10,933
Huu uzi nimeufungua wakati tayari naskiliza tupo pamoja ya Mr Blue (I swear to God), mpaka muda huu inareplay kwa phone.Niaje upo?
Fid Q huyu jamaa anasahau mistari jukwaani...Sijui shida yake nini.
Ni sawa na Saigoni naye...wanakaza lyrics wakifika jukwaani wanakuna vichwa.
Mr Blue is the best rapper yani kila idara