Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
[h=3][/h]
Hitmaker wa Pesa, Mr Blue aka Kabayser amesema tangu awe baba, maisha yake yamebadilika na haishi kama zamani tenaNafikiri kwa mimi imenikuza zaidi, Blue aliiambia tovutui hii.
Mr Blue na mwanae Sameer
Hata hivyo amesema pamoja na kuwa baba, majukumu aliyonayo hayajabadilika sana japo kwa sasa amekuwa yeye binafsi na familia yake. Kilichobadilika kwangu ni bidii kuongezeka inabidi niangalie familia yangu iandaje.
Wahyda (mchumba wake na Blue) akiwa na mwanae Sameer
Ni mtu kwakweli kama baba yake na mimi nafurahi, Blue amemuongea mwanae huyo wa kiume aitwaye Sameer. Inabidi amrithi baba yake tu kwa uchakarikaji na kila kitu.
Wahyda
Katika hatua nyingine Mr Blue amesema tayari amemalizia mjengo wake na anatarajia kuhamia tarehe 1 January 2014
Hitmaker wa Pesa, Mr Blue aka Kabayser amesema tangu awe baba, maisha yake yamebadilika na haishi kama zamani tenaNafikiri kwa mimi imenikuza zaidi, Blue aliiambia tovutui hii.
Mr Blue na mwanae Sameer
Hata hivyo amesema pamoja na kuwa baba, majukumu aliyonayo hayajabadilika sana japo kwa sasa amekuwa yeye binafsi na familia yake. Kilichobadilika kwangu ni bidii kuongezeka inabidi niangalie familia yangu iandaje.
Wahyda (mchumba wake na Blue) akiwa na mwanae Sameer
Ni mtu kwakweli kama baba yake na mimi nafurahi, Blue amemuongea mwanae huyo wa kiume aitwaye Sameer. Inabidi amrithi baba yake tu kwa uchakarikaji na kila kitu.
Katika hatua nyingine Mr Blue amesema tayari amemalizia mjengo wake na anatarajia kuhamia tarehe 1 January 2014