Mr Adamu wa mjini Tunduma atengeneza helkopta yake mwenyewe hongera sana

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,082
MR ADAMU.png


mr-adamu-png.363572



Mr Adam wa Tunduma kwa utaalamu huu anastahili kupewa heshima

Neno moja kwa Mr Adam wa Tunduma kwa kazi nzuri
 
kwa kuwa adam hayupo humu bhas tuseme rotor yake haizunguki ilq unaamin helcopter ipo hewan
kweli wewe ni mhuni na hufanani na sura yako, HAKUNA HELKOPTA ILIYORUKA HUJO RUVUMA
(panga kubwa la Helkopta huwa lazima liingie katikatu ya panga dogo la nyuma na panga hilo kubwa hukaa mawulu katika moja kwa ajili ya kwenda juu na kushuka chini. kumbuka mkia wa chini kumbuja Mkia wa nyuma huwa na bawaba kwa ajili ya kukata kona)
cc
MziziMkavu
Tunduma: Jamaa kaunda ndege aina ya Helocopter ipo tayari kwa kuzinduliwa na Mbio za Mwenge

Mbeya tunduma wana vipaji je unamaoni gani watu wana unda helkopta

Helkopta mpya ya Kitanzania Iliyotengenezwa Tunduma Kuzinduliwa. Imepewa Jina la Songwe
View attachment 363491 View attachment 363489 View attachment 363490
View attachment 363470
 
kweli wewe ni mhuni na hufanani na sura yako, HAKUNA HELKOPTA ILIYORUKA HUJO RUVUMA
(panga kubwa la Helkopta huwa lazima liingie katikatu ya panga dogo la nyuma na panga hilo kubwa hukaa mawulu katika moja kwa ajili ya kwenda juu na kushuka chini. kumbuka mkia wa chini kumbuja Mkia wa nyuma huwa na bawaba kwa ajili ya kukata kona)
cc
MziziMkavu
jamaa alikuwa anasema halizungukq nami nikamuambia bhsa poa tuseme haizunguki ila video nmeona inazunguka
 
Back
Top Bottom