Witmak255
JF-Expert Member
- Feb 5, 2019
- 3,264
- 5,403
kablaSorry mkuu hii inakuwa baada ya makato au kabla ya kukatwa michango...? Thanks.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kablaSorry mkuu hii inakuwa baada ya makato au kabla ya kukatwa michango...? Thanks.
Hata kama haijakatwa ni nyingi hiyo bado hapo safari na mishe nyingine au Hufahamu Serikali kuu na Halmashauri Dere analamba 390k Kama TGS B, kabla ya Tumakato.
Kwanini isikatwe nina Mshikaji wangu Anapokea 300k na inakatwa.Ina maana hiyo 390k bado inakatwa tena mkuu...? Na pia kwa Tanesco kunakuwa na safari kwani sio wanakuwa na kazi za ndani ya mkoa husika tu kiongozi...?
Kwanini isikatwe nina Mshikaji wangu Anapokea 300k na inakatwa.
MPYA; TANESCO watangaza Nafasi za Kazi 569 kupitia PSRS
KAZI kwenu vijana
Pendelea kucheza na TANGAZO husika kama hapo ametaka 8 tia hiyo mkuu akikwambia 27 tia 27.Mkuu hivi anuani sahihi ya jengo la Utumishi ni ipi kati ya hizo 2 aisee...? Ni 8 Utumishi House au ni 27 Utumishi House...? Thanks In Advance.
View attachment 1173726View attachment 1173735
Mkuu hata mimi has jamaa nahitaj kujua wanaweka wapDaaaah hatari sana mkuu. Na hawa jamaa wa DFPA matangazo yao ya driver vacancy huwa wanaweka wapi mkuu...?
DFPA ni Donated Fund Program kwahyo ukiona hzo gari ujue zimetolewa kama msahada kwenye taasisi au serikalini kwahyo zipo katika idara nyingi za serikali mpaka halmashauri usije ukafikiri kuwa lipo shirika maalumu ambalo ni DFPA.Mkuu hata mimi has jamaa nahitaj kujua wanaweka wap
Kumbe na wewe umeliona hili. Nilishawahi fanya interviews NNE za hawa jamaa lakini hola. Na waliokuwa wanapata kazi ni wanafunzi wangu niliokuwa nawafundisha Chuo fulani.bora wapitie utumishi maana hawa jamaa walikuwa wanawekana tu
Hivi Engineers, Technicians na Artisans wanaanzia na mpunga kiasi gani?bora wapitie utumishi maana hawa jamaa walikuwa wanawekana tu