Mpya! Kuuza pilau nyumba za ibada

chivala

JF-Expert Member
Apr 13, 2021
772
2,332
Wakuu leo nimekutana na jambo la ajabu sijawahi kuliona maishani mwangu, nadhani hata baadhi yenu hamjalishudia.

Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.

Basi hapo ndio nikajua kuwa kama biashara ya ubwawa imefikia kuviziana kwenye nyumba za ibada, basi, huko majumbani ni shida tupu.
 
Wewe utakuwa ni mgeni wa kuswalia misikitini, hasa misikiti ya Dar,watu wanafanya biashara zao kama kawaida na hakuna shida,kufanya biashara ndani ya msikiti ndio vibaya....japo kuwa wale masheikh wauza madawa huwa wanazitangaza dawa zao pale mimbari kwa imamu halafu pesa wanaenda kupokelea nje...utakuwa umesalia msikiti wa kwa msusa mbagala rangi tatu kuna jamaa huwa anauza pilau la take away kwa buku anakupa na kijiko cha plastiki au nasema uongo ndugu yangu?Tuliza jazba sheikh hiyo ni kawaida jamaa huwa anauwa soko la mama lishe wanaouza pilau buku jero...mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka msikiini napitia kabox kangu naenda kupoza njaa,tuvumiliane mkuu.
 
Wakuu leo nimekutana na jambo la ajabu sijawahi kuliona maishani mwangu, nadhani hata baadhi yenu hamjalishudia.

Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.

Basi hapo ndio nikajua kuwa kama biashara ya ubwawa imefikia kuviziana kwenye nyumba za ibada, basi, huko majumbani ni shida tupu.
Ikiwa ni nje ya msikiti
Hakuna katazo kisheria
Yupo sawa
Na ni moja ya ubunifu
 
Wewe utakuwa ni mgeni wa kuswalia misikiti hasa misikiti ya Dar,watu wanafanya biashara zao kama kawaida na hakuna shida,kufanya biashara ndani ya msikiti ndio vibaya....japo kuwa wale masheikh wauza madawa huwa wanazitangaza dawa zao pale mimbari kwa imamu halafu pesa wanaenda kupokelea nje...utakuwa umesalia msikiti wa kwa msusa mbagala rangi tatu kuna jamaa huwa anauza pilau la take away kwa buku anakupa na kijiko cha plastiki au nasema uongo ndugu yangu.Tuliza jazba sheikh hiyo ni kawaida jamaa huwa anauwa soko la mama lishe wanaouza pilau buku jero...mimi mwenyewe nilikuwa nikitoka msikiini napitia kabox kangu naenda kupoza njaa,tuvumiliane mkuu.
Mnapenda sana kulakula, mtalishwa hadi mavi.......
Sitakuja kula pilau mbagala
 
Wakuu leo nimekutana na jambo la ajabu sijawahi kuliona maishani mwangu, nadhani hata baadhi yenu hamjalishudia.

Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.

Basi hapo ndio nikajua kuwa kama biashara ya ubwawa imefikia kuviziana kwenye nyumba za ibada, basi, huko majumbani ni shida tupu.
Basi nikadhani ni ile pilau nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu leo nimekutana na jambo la ajabu sijawahi kuliona maishani mwangu, nadhani hata baadhi yenu hamjalishudia.

Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.

Basi hapo ndio nikajua kuwa kama biashara ya ubwawa imefikia kuviziana kwenye nyumba za ibada, basi, huko majumbani ni shida tupu.
Hashim Rungwe hakuwepo!!
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom