chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,332
Wakuu leo nimekutana na jambo la ajabu sijawahi kuliona maishani mwangu, nadhani hata baadhi yenu hamjalishudia.
Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.
Basi hapo ndio nikajua kuwa kama biashara ya ubwawa imefikia kuviziana kwenye nyumba za ibada, basi, huko majumbani ni shida tupu.
Leo nilihudhuria sala dhuhri katika msikiti mkubwa fulani, baada ya kumaliza sala kwenye lango kuu la msikiti nikamkuta muumini muuza pilau kwa style ya takeaways.
Basi hapo ndio nikajua kuwa kama biashara ya ubwawa imefikia kuviziana kwenye nyumba za ibada, basi, huko majumbani ni shida tupu.