jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Imebidi nicheke tu mkuu! Yani hata wewe unaniita bavicha? Ni uzee au kitu gani mkuu?😀Basi bavicha mnafurahiii utadhani ndiyo njia ya kuingia Ikulu
Imebidi nicheke tu mkuu! Yani hata wewe unaniita bavicha? Ni uzee au kitu gani mkuu?😀Basi bavicha mnafurahiii utadhani ndiyo njia ya kuingia Ikulu
Nawashangaa sana wale wanaosema eti tunaotaka lockdown tuna mikate! Mara wanasema tu nafanya kazi serikalini. Nimeshuhidia wengi waliodharau hili sasa hivi wanajutia! Halafu tatizo juu ya tatizo ni kwamba tatizo liko wakati chaguzi nyingi kuu duniani ziko due ikiwemo Tanzania yetu na marekani.
We kiraka. Nakuspare kwasasa.Bavicha hawajitambui!
Wafanye maombi ya kuomba msamaha kubambikia watu kesi, kuonea wapinzani, kunyima watu dhamana makusudi, kupiga watu nk, ndipo wanaweza kuwa na uwezekano labda kidogo wa kusikilizwa. La sivyo wajiandae tu kuzikanaAskari polisi wa kituo cha Mbalizi mkoani Mbeya leo wamefanya Ibada kituoni hapo kutimiza maelekezo ya Rais Magufuli ya kufanya maombi dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa kituo afande Lusekelo na kuhudhuriwa na mkuu wa wilaya.
Source ITV habari.
My take; Tukio hili la ibada na namna makamanda walivyokuwa wakikemea katika jina la Yesu limenibariki sana!
Mungu hadhihakiwiMaombi hayana wala hayajawahi kua na msaada.
Watu wafuate maelekezo ya wataalam, achana na hadith za maombi.
Ndiyo tabia zenu. Kufurahia matatizo mkidhani chadomo ndiyo itaingia ikuluImebidi nicheke tu mkuu! Yani hata wewe unaniita bavicha? Ni uzee au kitu gani mkuu?😀
Mungu hajasema ibada lazima watu waende kanisanNdio tunataka hao watu waende kuomba makanisani na sio kwenye kituo cha polisi