Mpya: Askari polisi wa kituo cha Mbalizi Mbeya wafanya Ibada kituoni kuomba Mungu atuepushie janga la Corona

Umeongea kwa hisia sana mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashangaa sana wale wanaosema eti tunaotaka lockdown tuna mikate! Mara wanasema tu nafanya kazi serikalini. Nimeshuhidia wengi waliodharau hili sasa hivi wanajutia! Halafu tatizo juu ya tatizo ni kwamba tatizo liko wakati chaguzi nyingi kuu duniani ziko due ikiwemo Tanzania yetu na marekani.

Walianza na siasa na hapo ndo shida.
 
Askari polisi wa kituo cha Mbalizi mkoani Mbeya leo wamefanya Ibada kituoni hapo kutimiza maelekezo ya Rais Magufuli ya kufanya maombi dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.

Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa kituo afande Lusekelo na kuhudhuriwa na mkuu wa wilaya.

Source ITV habari.

My take; Tukio hili la ibada na namna makamanda walivyokuwa wakikemea katika jina la Yesu limenibariki sana!
Wafanye maombi ya kuomba msamaha kubambikia watu kesi, kuonea wapinzani, kunyima watu dhamana makusudi, kupiga watu nk, ndipo wanaweza kuwa na uwezekano labda kidogo wa kusikilizwa. La sivyo wajiandae tu kuzikana
 
Back
Top Bottom