Kutokana na kampeni kali za kiti cha udiwani kilichopo wazi baada ya diwani DR. Maiseli kufariki , kampeni hizo ni kati ya CHADEMA,CUF, NA CCM. Lakini mchuano mkali ni kati ya mgombea wa CCM ambae ni George Fuime,na wa CHADEMA ambae ni Mpina Baharia.
Kadri siku zinavyoendelea Mgombea wa CCM anakuwa hakubaliwi sababu ya kisomo chake kidogo na kwamba alishinda kura za maoni kwa sababu alitoa rushwa kuwazidi wenzie wa CCM ambao walikuwa ni wazuri lakini walikuwa hoi kifedha ile yeye ndugu george Fuime kwa kuwa aliuza ngo`ombe basi aliibuka kidedea.
Sasa wanainchi hawamukubali na kwenye kampeni zake mahudhurio ni hafifu. Kuona hivyo leo wameenda kushitaki polisi eti CHADEMA wanafanya maeneo ambayo hayako kwenye ratiba. Polici waliwafuata kitongoji cha Ilolo wakawapa tifu na kuharibu mpango kazi
MY TAKE: police wanatumiwa bila wao kujuwa au ni maelekezo toka kwa mkuu wa wilaya baada ya kuona CCM wamezidiwa katika kipindi hiki cha lala salama na Mgombea wa CCM ameishiwa kabisa fedha ameanza kuuza mahindi.
Kadri siku zinavyoendelea Mgombea wa CCM anakuwa hakubaliwi sababu ya kisomo chake kidogo na kwamba alishinda kura za maoni kwa sababu alitoa rushwa kuwazidi wenzie wa CCM ambao walikuwa ni wazuri lakini walikuwa hoi kifedha ile yeye ndugu george Fuime kwa kuwa aliuza ngo`ombe basi aliibuka kidedea.
Sasa wanainchi hawamukubali na kwenye kampeni zake mahudhurio ni hafifu. Kuona hivyo leo wameenda kushitaki polisi eti CHADEMA wanafanya maeneo ambayo hayako kwenye ratiba. Polici waliwafuata kitongoji cha Ilolo wakawapa tifu na kuharibu mpango kazi
MY TAKE: police wanatumiwa bila wao kujuwa au ni maelekezo toka kwa mkuu wa wilaya baada ya kuona CCM wamezidiwa katika kipindi hiki cha lala salama na Mgombea wa CCM ameishiwa kabisa fedha ameanza kuuza mahindi.