Huyu Kova njaa itampeleka pabaya sana, muacheni awe toileti paper ya Fisadi Kikwete lakini yatamtokea puani
fact mkuu! dawa yao ipo tayari tunangoja octoba 25 tu
Huyu Kova njaa itampeleka pabaya sana, muacheni awe toileti paper ya Fisadi Kikwete lakini yatamtokea puani
wewe umekuzwa kwa kodi za watanzania na mara nyingi umekua ukijitoa ufahamu...sasa dawa ipo njiani...akili itawarudi tu na mtaona gharama ya uvunjwaji wa wazi wa sheria haswa kwa waliotarajiwa kuzisimamia.
hawa ukiondoa wazazi wao kwenye siasa nakuhakikishia wanakufa mara moja !wewe umekuzwa kwa kodi za watanzania na mara nyingi umekua ukijitoa ufahamu...sasa dawa ipo njiani...akili itawarudi tu na mtaona gharama ya uvunjwaji wa wazi wa sheria haswa kwa waliotarajiwa kuzisimamia.
Hapo ndio mwisho wako wakufikiri?- UKAWA mkishinda URAis nahamia Liberia kuongozwa na Le Mbebezzz U know hahahahahahah
Le Mu
Huyu jamaa ni bingwa wa Hollywood scripts...