Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 792
- 405
Wewe ni mmoja wa wapumbavuMtanzania mpumbavu amewaza serikali ianguke akidhani eti Magufuli ndio shida akisahau amekalia kuti kavu.
Mpumbavu amewaza kwa akili ya kipumbavu eti anakata tawi linalo angusha majani juu ya paa lake kumbe ndio tawi amelikalia.
Mpumbavu amezunguka nchi nzima kuwaponda mafisadi leo mpumbavu anawaza kile anakifanya Mh Rais niuwonevu.
Tunawapumbavu wengi na ipo kazi mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app