HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
Let me tell you being a president or member of parliament doesn't mean you have done something in a country by your title.
What we citizen measures are responsibility and accountability. Sasa nakushangaa mh unamuuliza mtoa mada cheo, unadhani cheo chake kitasaidia kuendesha nchi? Au wewe umefanya nini katika cheo chako kusukuma nchi, ungemuuliza katika kada yake anafanya nini kuisaidia nchi kimaendeleo ningekuona mstaarabu kama unavyohitaji watu wawe na sio personal attack kwa irrelevant issues.
Hujawahi kujiuliza ni kwanini uliacha kuingia wodini ukaenda kwenye political medicine na mwisho kubadili kabisa taswira au kwanini uliingia MD at first place ukapoteza miaka 5 kama lengo lilikuwa kuwa na MBA?
Kuna Prof mmoja aliwahi kusema, "usione watu wanakimbia kutibu wagonjwa na kuenda kwenye political medicine ambayo hata ukimpa diwani mwongozo anaweza kuact, ni vile tu hajiamini katika kutoa huduma na hawezi kujenga rapport na wagonjwa ili hata akianzisha hosp yake au akienda kuomba kazi ya part time aweze kuwavuna"
Nakushukuru Daktari, kijana anatakiwa awe responsible in the first place kabla hajawataka wengine wawe responsible, usinipeleke huko, siyo lengo langu