Mpoki a.k.a Bepari la kihaya

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,261
style anayoitumia mpoki wa origino komedi, ile ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inapunguza radha ya kipindi na kutudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????
 
Last edited:
katika vitu vinavyonifanya niache kuangalia kipindi cha origino komedi ni huyu jamaa anayeitwa mpoki, ile tabia yake ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inatudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????

Mkuu yaani bado unapoteza muda wako adimu kuwaangalia watu waliokosa ubunifu na kitu chakufanya.Tafadhali Jojipoji angalia vipindi vingine au jiunge na Dstv wanapakage za bei ndogo sana nadhani chini $ 10 kwa mwezi.

TV station za Tanzania zinabore sana wakati mwingine mtu unakuwa huna ratiba ya kupata moja baridi lakini unalazimika kunywa kukwepa vipindi vibovu kupita kiasi.
 
Nashauri uangalie comedy ya FUTUHI inayornushwa na Star TV; angalau yenyewe inatayarishwa kibunifu. Anayeigiza nafasi ya Mwanamke ni LADY na anayeigiza nafasi ya Mwanamme ni GENTLEMAN. Otherwise subscribe DSTv upate program bomba nyinigi tu; mfano cartoons, African dramas, wildlife, natural sciences, etc!!!
 
Hizi tabia za kuponda kila kitu vijana wetu wanafanya inakera sana, na ndio maana wasanii wetu wanashindwa kuendelea coz wanakosa backup from home!

Mi siamini eti hakuna vipindi vizuri kny TV zetu hapa bongo km TBC, itv etc....Ze comedy, yes inaweza kuwa na mapungufu....bt ni nzuri......kama ww mmoja huipendi bac kuna wtv kibao wanaipenda...kudhibisha hilo kesho alhamisi pita sehemu za bar zenye tv mitaa ya saa kumi na mbili jioni, na pia vijiweni huko uswaz etc uone watu walivyojazana humo wakiburudika....!

Tunakasumba mbovu sana ya kusifia vya wenzetu tu, vya vyeku atasifia nani? Tumempnda sana Kayumba, tuliponda sana Maisha Plus, tunaponda sana waigizaji wafilamu etc why? tunakimbilia filamu au programs za DSTV ambazo zimetengenzwa tena kny nchi za Africa hapa hapa with more or less similar mazingira....na ndiko tunaona ni bora na kukandia sana vya kwetu.....hii tabia si nzuri kabisa! Charity should begin at home bana!

We mtoa mada kwa akili yako unafikiri Mpoki yale anayosema yanaukweli wowote e.g ana watoto wanasoma Ulaya ...day, anafanya massage Brazil....etc etc? ule ni just usanii......tu na kufurahisha wanajamii! Na kumbuka kuna ukweli fulani kwamba wahaya walio wengi huwa wanapenda sana kujisifia kwamba wana maisha bora na wana uwezo sana kifedha......so this guy is just trying to potray that full stop!
 
hiyo ni sataili tu si lazima iwe kweli........
vumilieni tuuuuuuuuu>>>>>>>>>>>>>>>>>
 
Wabongo bwana!!! Msitake ncheke. Yaani kipindi chenyewe "the comedy" bado mtu anahisi kujinyanyapaa mwenyewe eti mpoki anajifanya mhaya mwenye pesa. That's just comedy man! Au wewe comedy ni ya wazungu tu kama mr. bin? Vitu simple havipandi. British Council ipo kwa ajili ya watu kama wewe JojiPoji, kasome nahisi vocabulary yako ni tepetepe sana!
 
Hizi tabia za kuponda kila kitu vijana wetu wanafanya inakera sana, na ndio maana wasanii wetu wanashindwa kuendelea coz wanakosa backup from home!

Mi siamini eti hakuna vipindi vizuri kny TV zetu hapa bongo km TBC, itv etc....Ze comedy, yes inaweza kuwa na mapungufu....bt ni nzuri......kama ww mmoja huipendi bac kuna wtv kibao wanaipenda...kudhibisha hilo kesho alhamisi pita sehemu za bar zenye tv mitaa ya saa kumi na mbili jioni, na pia vijiweni huko uswaz etc uone watu walivyojazana humo wakiburudika....!

Tunakasumba mbovu sana ya kusifia vya wenzetu tu, vya vyeku atasifia nani? Tumempnda sana Kayumba, tuliponda sana Maisha Plus, tunaponda sana waigizaji wafilamu etc why? tunakimbilia filamu au programs za DSTV ambazo zimetengenzwa tena kny nchi za Africa hapa hapa with more or less similar mazingira....na ndiko tunaona ni bora na kukandia sana vya kwetu.....hii tabia si nzuri kabisa! Charity should begin at home bana!

We mtoa mada kwa akili yako unafikiri Mpoki yale anayosema yanaukweli wowote e.g ana watoto wanasoma Ulaya ...day, anafanya massage Brazil....etc etc? ule ni just usanii......tu na kufurahisha wanajamii! Na kumbuka kuna ukweli fulani kwamba wahaya walio wengi huwa wanapenda sana kujisifia kwamba wana maisha bora na wana uwezo sana kifedha......so this guy is just trying to potray that full stop!

ahsante sana mkuu..kama we ni mhaya na unakereka fahamu unachukulia suala personal.anafanya anachofanya na kama anakukera ujumbe umefika zaidi.
 
Hizi tabia za kuponda kila kitu vijana wetu wanafanya inakera sana, na ndio maana wasanii wetu wanashindwa kuendelea coz wanakosa backup from home!

Mi siamini eti hakuna vipindi vizuri kny TV zetu hapa bongo km TBC, itv etc....Ze comedy, yes inaweza kuwa na mapungufu....bt ni nzuri......kama ww mmoja huipendi bac kuna wtv kibao wanaipenda...kudhibisha hilo kesho alhamisi pita sehemu za bar zenye tv mitaa ya saa kumi na mbili jioni, na pia vijiweni huko uswaz etc uone watu walivyojazana humo wakiburudika....!

Tunakasumba mbovu sana ya kusifia vya wenzetu tu, vya vyeku atasifia nani? Tumempnda sana Kayumba, tuliponda sana Maisha Plus, tunaponda sana waigizaji wafilamu etc why? tunakimbilia filamu au programs za DSTV ambazo zimetengenzwa tena kny nchi za Africa hapa hapa with more or less similar mazingira....na ndiko tunaona ni bora na kukandia sana vya kwetu.....hii tabia si nzuri kabisa! Charity should begin at home bana!

We mtoa mada kwa akili yako unafikiri Mpoki yale anayosema yanaukweli wowote e.g ana watoto wanasoma Ulaya ...day, anafanya massage Brazil....etc etc? ule ni just usanii......tu na kufurahisha wanajamii! Na kumbuka kuna ukweli fulani kwamba wahaya walio wengi huwa wanapenda sana kujisifia kwamba wana maisha bora na wana uwezo sana kifedha......so this guy is just trying to potray that full stop!

ahsante sana mkuu..kama we ni mhaya na unakereka fahamu unachukulia suala personal.anafanya anachofanya na kama anakukera ujumbe umefika zaidi.
 
Pumbaffff.... Na Pumba zenu Walipokuwa EATV Wakitania Wapemba Walikuwa wazuri Leo Wapo TBC1 Kuwageza Wahaya wamekuwa sio Wabunifu Mmelazimishwa kuwaangalia
 
katika vitu vinavyonifanya niache kuangalia kipindi cha origino komedi ni huyu jamaa anayeitwa mpoki, ile tabia yake ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inatudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????

Ulitaka afanyaje?
 
jamani mlikwishaambiwa ukitaka iangalie, usipotaka ipotezee, maana huwalipi wala hawakusaidii chochote, habari ndio hiyo sio kupionda kwani umelazimishwa kuangalia?
 
com·e·dy (kŏm'ĭ-dē)
n. pl. com·e·dies

    1. A dramatic work that is light and often humorous or satirical in tone and that usually contains a happy resolution of the thematic conflict.
    2. The genre made up of such works.
  1. A literary or cinematic work of a comic nature or that uses the themes or methods of comedy.
  2. Popular entertainment composed of jokes, satire, or humorous performance.
  3. The art of composing or performing comedy.
  4. A humorous element of life or literature: the human comedy of political campaigns.
  5. A humorous occurrence
hamna utani wa makabila uko kwenu?, comedy ni maigizo ndugu, acha kuumiza kichwa
 
waacheni wanaotaka kuangalia komedi waangalia na nyie wazungu mamboleo angalieni Dstv muwatajirishe makaburu.
 
Hahahahahaha duh wewe JojiPoji na wewe kituko kweli unakereka nini hupendi utani?
Kama hupendi ndo maana Masanja anakwambia jipotelee hakulazimishi kuangalia humlipi.
 
kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????

wajina hili ni jibu, ilobakia ni kupigia mstari tu kama ifuatavyo:
kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani
 
katika vitu vinavyonifanya niache kuangalia kipindi cha origino komedi ni huyu jamaa anayeitwa mpoki, ile tabia yake ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inatudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????
Wahaya nao wanavyopenda kujisifu!

Hongera 'bepari' Mpoki, MESSAGE DELIVERED!
 
Wapewe ushauri ili waweze kuboresha kipindi chao endapo hawatakubali ushauri wa kiufundi na kitaalam basi tuwaponde . Hata hivyo hawa jamaa lazima wapoteze umaarufu kwani style yao ni ile ile tangu EATV. Hawana ubunifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom