Naibu Katibu Mkuu CCM Tanzania Bara Ndugu Rodrick Lazaro Mpogolo ameibomoa ngome ya mzee Lowassa katika mkutano mkubwa wa ndani uliohudhuriwa na wajumbe 1863 katika kata ya Migungani wilaya ya Monduli.
Amewataka kuhakikisha wanampa kura nyingi za ushindi wa heshima mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM Ndugu Julius Kalanga kuwa mbunge wa Monduli siku ya Jumapili tarehe 16/09/2018.
Amewataka kuhakikisha wanampa kura nyingi za ushindi wa heshima mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM Ndugu Julius Kalanga kuwa mbunge wa Monduli siku ya Jumapili tarehe 16/09/2018.