Mpira ni hadi dakika ya mwisho

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Jul 24, 2014
24,504
28,691
Mwanaume wa Kifaransa ambaye anakwenda kwa jina la Florian Lejeune jana alifanya maajabu yake kwa kutumia muda usiozidi dakika moja na nusu kuweka kambani magoli mawili dhidi ya Everton na kuwapa Newcastle sare ya 2-2 .

Mpaka dakika ya 93 Everton walikuwa mbele kwa magoli 2-0 lakini mpaka dakika ya 94 mechi inaisha 2-2 , hapo ndio unajua kazi ya ukocha ni ngumu sana tena sana , huwezi kuvaa viatu vya Carlo Ancelotti hapo jinsi anavyojisikia sasa hivi.

IMG_20200122_094956.jpeg
 
Huyo jamaa alinikera sana jana nilikua natemegea cleansheet na point angalau kumi kutoka kwa Digne ghafla nashangaa 2-2
 
We sema ligi unayoangalia ni EPL tu,hivyo vitu vya kawaida sana uku Kwenye ligi nyingine.
Msimu uliopita HD anaifungia simba goli dk ya mwisho ya 95 dhidi ya Jkt.

Sent using Jamii Forums mobile app

Brother ni nadra sana kwa ligi nyingine, ila Epl ni kila wiki ndio maana imesemwa ili ushinde Epl unahitaji kuongoza goli zaidi ya 3 dk ya 80 vinginevyo kamoja au viwili ni hati hati!
 
Mwanaume wa Kifaransa ambaye anakwenda kwa jina la Florian Lejeune jana alifanya maajabu yake kwa kutumia muda usiozidi dakika moja na nusu kuweka kambani magoli mawili dhidi ya Everton na kuwapa Newcastle sare ya 2-2 .

Mpaka dakika ya 93 Everton walikuwa mbele kwa magoli 2-0 lakini mpaka dakika ya 94 mechi inaisha 2-2 , hapo ndio unajua kazi ya ukocha ni ngumu sana tena sana , huwezi kuvaa viatu vya Carlo Ancelotti hapo jinsi anavyojisikia sasa hivi.

View attachment 1330437
Sijui ilikuwaje hapo kwa wale waliokuwa wanaangalia mechi huku wakiwa na mikeka mfukoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barcelona waliwahi kufungwa dk 87 magoli 3 kwa 0,,dk 87 hadi mpira kwisha wakafunga magoli 4
Brother ni nadra sana kwa ligi nyingine, ila Epl ni kila wiki ndio maana imesemwa ili ushinde Epl unahitaji kuongoza goli zaidi ya 3 dk ya 80 vinginevyo kamoja au viwili ni hati hati!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom