Mpira (football) ni Mchezo wa hisia , Je ni kweli Uchawi upo kwenye mpira wa miguu?

Lee

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
43,899
150,175
Mpira wa miguu kwa miongo kazaa umeteka mashabiki duniani kote kila mtu kuwa mshabiki na mpenzi wa timu flani ,kwa Tanzania huwezi kuzungumzia mpira bila kuzitaja Simba na Yanga ni club kongwe na zenye mafanikio ukiringanisha ni timu nyingine nchini
Kitu ambacho huwa sikiamini mpaka leo ni juu ya imani za kishirikina kwenye mpira , japo wengi wanadai upo na baadhi ya timu zetu hivi karibuni mfano mechi ya simba na yanga iliyopita Yanga walitumia mlango ambao sio rasmi kuingia uwanjani na jana kigoma walionekana simba wakilazimisha kupita mlango ambao waliutaka wao yote wengi wanadai ni imani za kishirikina ...

Je uchawi upo kwenye mpira ?

Mshana Jr una la kuongeza ?
 
nipo kwenye tasnia ya mpira mwak kam wa sita sasa i mean ni mchezaji nipo tim moj ya ligi kuu..
.
ukiwa nje ya tansia hii ni ngumu san kuamini uchawi upo, ila 95% ya tim za tanzania zinatumia uchawi masaa machache kabla ya kuingia kwenye mechi ili wapate ushindi..
 
Hata Yanga kumuamini Mzee Mpili ambaye hata kubeba kiti cha plastic hawezi.

Lakini kawaaminisha kwa uchawi kwamba lazima yanga ishinde..

Uchawi upo mkuu.
Kuna story nishawahi sikia eti unafika golini hulion
 
nipo kwenye tasnia ya mpira mwak kam wa sita sasa i mean ni mchezaji nipo tim moj ya ligi kuu..
.
ukiwa nje ya tansia hii ni ngumu san kuamini uchawi upo, ila 95% ya tim za tanzania zinatumia uchawi masaa machache kabla ya kuingia kwenye mechi ili wapate ushindi..
Tupo kisanga ata kimoja ambacho ushawahi kutaka nacho kwenye mpira
 
Mpira wa miguu kwa miongo kazaa umeteka mashabiki duniani kote kila mtu kuwa mshabiki na mpenzi wa timu flani ,kwa Tanzania huwezi kuzungumzia mpira bila kuzitaja Simba na Yanga ni club kongwe na zenye mafanikio ukiringanisha ni timu nyingine nchini
Kitu ambacho huwa sikiamini mpaka leo ni juu ya imani za kishirikina kwenye mpira , japo wengi wanadai upo na baadhi ya timu zetu hivi karibuni mfano mechi ya simba na yanga iliyopita Yanga walitumia mlango ambao sio rasmi kuingia uwanjani na jana kigoma walionekana simba wakilazimisha kupita mlango ambao waliutaka wao yote wengi wanadai ni imani za kishirikina ...

Je uchawi upo kwenye mpira ?

Mshana Jr una la kuongeza ?
Uchawi upo kwenye kandanda lakini matokeo yake huwa hasi kutokana na kukosa watu sahihi ama kila upande kuwa na mtaalam wake
Kwa level ya kimataifa kuna makafara makubwa ya kishetani yanafanyika
 
Uchawi upo kwenye kandanda lakini matokeo yake huwa hasi kutokana na kukosa watu sahihi ama kila upande kuwa na mtaalam wake
Kwa level ya kimataifa kuna makafara makubwa ya kishetani yanafanyika
Ware waarabu mabingwa mara 10 Alhly watakuwa wanatoa kafara gani
 
Yanga bila mazingaombwe ni utopolo.
Mtaniambia mechi za kimataifa maana mzee Mpili hana passport wala havijui viwanja vya ndege za kichawi vya nje ya nchi.Hata Kigoma alishindwa maana alijikuta yuko Burundi
 
Kipindi nacheza mpira kuna siku tulikua na mechi pale msasani magunia .nikiwa kijana kinda naupiga mwingi mno basi siku ya mechi mzeee mmoja aliniambia kijana ( alitaja jina) akasema wewe Leo tunakutegemea nikapewa kitu nilikataa but hy mechi tulishinda nami nikatupia moja

Ktk mpiraa tunaamini kuna bahati
 
Back
Top Bottom