Mpinzani wa kushindana na Rais Samia 2025 labda atokee CCM

Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Huyo slaa angegombea na Magufuri zile risasi za Lisu zingeanzia kwake
 
Kwani Ccm mna fanya uchaguzi au dola ina saidia kuiba kura? Ccm hamja wahi kushinda kwenye box la kura
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Huko ccm nako labda Dr Mwinyi wa Zenji,Makamba, PM na Ummy.

Waliosalia ni magarasa ,,mtu kama Mwigulu,VP au Kabudi Hawa ni wajivunie na wanajiona Wana akili kuliko wengine hawafai Wana hulka za udikteta
 
Uchaguzi ujao nitapiga kura ya Rais na itaenda kwa mama tuu , kwingine sitapiga kura maana hakuna wagombea wa maana.
 
Hii kulialia na tatizo moja kwa miaka30 ni wazi kabisa kwamba hamna uwezo wa kutatua tatizo lolote kwenye maisha yenu binafsi wala kwa taifa letu

Chama chochote imara chenye misingi ya kulinda wananchi na mali zao kingeungwa mkono tuu na police, majeshi na wananchi wote.

Jipangeni buana, nyie wakubwa mjue eeeh
Wewe ni takataka ya CCM watakusikiliza wapumbavu wenzako tupishe.
 
Atakaye amua kutembelea nyota ya Legendary John to the roots (wananchi) huyo mbona mapema tu anamgaragaza malkia hang!.
Hata legendary wako alikalia ofisi namba moja kwa nguvu ya tume, kura ni kiini macho tu cha kuonyesha na kukubalika kwa wakubwa huko duniani.
 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Kwa KATIBA HII na TUME ya Uchaguzi hii ya CHAMA TAWALA hata akiwa JOE BIDEN ATASHINDWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo unaamini CCM ni chama Cha siasa ?Mbona wanatumia vyombo vya Dora kupora uchaguzi kama uchaguzi wa 2020,Hata zuzu anaamini CCM kinatawala bila ridhaa ya Wananchi ndo Mana wanawatumia nguvu kubwa kuwabana wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anayeamini CCM ni chama "halali" cha siasa akapimwe ubongo wake.
CCM inajivunia wanachama milioni 8.
Ina maana CCM inawapiga manati kuku wao wenyewe wanaowafuga!!??
CCM ya karne ya 21 ni tofauti na CCM ya karne ya 20.
Tuliokuwa na akili timamu wakati TANU na ASP zinaungana tunaelewa nini kimetokea.
 
Hii kulialia na tatizo moja kwa miaka30 ni wazi kabisa kwamba hamna uwezo wa kutatua tatizo lolote kwenye maisha yenu binafsi wala kwa taifa letu

Chama chochote imara chenye misingi ya kulinda wananchi na mali zao kingeungwa mkono tuu na police, majeshi na wananchi wote.

Jipangeni buana, nyie wakubwa mjue eeeh
Unajua kuhusu MKIRU!!??
Kama hujui,endelea na "unyumbu" wako, wanaoujua ukweli walifanya juu chini kuhakikisha "sauti za wananchi" zinazimwa, mwisho wa siku walizimwa wao futi sita chini bila hata kuonekana jeneza lake likishushwa!
 
Ccm haina uwezo tena wa kushindana kwa njia ya box la kura. Na kwa taarifa hakuna mtu mwenye akili tumamu atashindwa kuwa rais wa Tanzania. Kazi ambayo JK na Magufuli nani atashindwa?
. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

 
Back
Top Bottom