Mpinzani wa kushindana na Rais Samia 2025 labda atokee CCM

Sep 17, 2021
39
84
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Slaa-fomu.jpg
 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Wakati Hadi sasa mnaogopa uwanja huru wa kutoa mawazo na ushindani wa hoja.
 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Labda gaidi mbowe achie uongozi

USSR
 
UPUUZI MTUPU!!! Samia AKA Chifu Hang ya na maccm ubora wao ni katika kupora chaguzi lakini kwenye uchaguzi HURU na wa HAKI ubora wao ni SIFURI ndiyo sababu wanaogopa katiba mpya ná Tume huru ya uchaguzi.

Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwaua Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Leo Police wamezuia mikutano wa cdm huko mbeya, samia mbona anawaogopa sana chadema
 
Atakaye amua kutembelea nyota ya Legendary John to the roots (wananchi) huyo mbona mapema tu anamgaragaza malkia hang!.
 
Mpinzani wa kushindana na NEC,TISS na bunduki na mabomu ya polisi hayupo labda twende ki Guinea Guinea

Hii kulialia na tatizo moja kwa miaka30 ni wazi kabisa kwamba hamna uwezo wa kutatua tatizo lolote kwenye maisha yenu binafsi wala kwa taifa letu

Chama chochote imara chenye misingi ya kulinda wananchi na mali zao kingeungwa mkono tuu na police, majeshi na wananchi wote.

Jipangeni buana, nyie wakubwa mjue eeeh
 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Kila kitu kuhusu chadema mnaogopa Kama kifo na mnakoelekea mpaka mwanachadema kujamba itakuwa uchochezi. We Ni andazi TU ndani ya ccm ndio maana haujui chochote wakubwa wa chama chako wakisikia neno chadema mavi yanagonga chupi we kunguni endelea kuropoka utopolo hapa
 
Hadi sasahivi hakuna chama chochote kinawezafanya chochote kwa CCM
Ndani ya katiba mpya tume huru huko ni mbali,ungekuwepo tu uhuru wa maoni na haki za msingi za kikatiba hata kwa katiba ya sasa hao chali zamaani kabisa.
 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

Andiko lako lipo sahihi tatizo hakuna uwanja huru kwa wote, japo kufika 2025 ni siri ya Muumba wetu
 
Dkt. Slaa ndiye mgombea pekee mwenye sifa zote za kuwa Rais, kuwahi kugombea kupitia CHADEMA

FREEMAN MBOWE walimjaribu 2005 wakaona hamna kitu ndio maan 2010 wakamuweka kando na kwenda na Slaa. Slaa ndiye Mchadema pekee aliyekuwa na kila sifa kuwa Rais.

2015, Lowassa akawatembezea fedha, wakamsaliti Slaa wakaenda mtu wa CCM Tanzania (Lowassa)

2020, Tundu Lissu akatembelea upepo wa kwamba ataonewa huruma kutoka na ile kadhia ya kupigwa risasi. Lakini ukweli ni kwamba mtu yule pamoja na kuwa mwanasiasa mzuri sifa za kuwa Rais HANA.

2025 : Nani atamuweza @SuluhuSamia ubora alionao (Kila mtu anaona Mama yuko Kazini)? Labda wapate mtu mwingine toka CCM, ndani ya CHADEMA hakuna Presidential Material. Vyama vingine wapo lakini hivyo vyama baado vina safari ndefu ya kujijenga.

She will be outsmarted by the unseen powerful whirlwind shadow from the veto horizon
 
Back
Top Bottom