Chato kuna nini kule? Wewe binafsi ungekuwa na uwezo unaweza kuwekeza chato tuseme hata TZS 500m - utakuwa mjinga wa karne.Mtazame huyu!!!
Vitu hujenga watu na maendeleo Yao, na ndio maana unaona miradi ya afya, barabara, usafiri wa anga, usafiri wa majini na miradi mingine ikiwemo umeme inatekelezwa kwa kasi ili kurahisisha maendeleo ya watu.
Bahari ya Hindi...tunajenga mtaro chini kwa chini hadi chato town - piga bahari pale ili watalii waogelee maji ya chumvi..Baada ya uwanja wa mpira inabidi mlima Kilimanjaro uhamie Chato.
Bahari ya hindi na kisiwa cha Mafia.
Yule mzee wa viieite alidai chato international airport ni kwa ajili ya ndege zilizopatwa dharura kutua, sasa tukasema kama ndege imeruka Mwanza kwa nini itue chato badala ya kugeuza kurudi Mwanza, au tuseme imepata dharura dodoma kwa nini isitue dodoma au igeuze iende kutua dar. Hivi ana uelewa ndege ambayo ipo katikati ya bahari kuu kama Indian ocean au atlantic inaweza kupata emergency landing ambayo ni umbali kati ya Mwanza na chato au tuseme Dar es salaam na Chato? aisee kuna watu wana chekesha sana...Unamjengea nani uwanja wa ndege kijijini? au ndio hao watalii tulioambiwa jana watakuwa wanakuja kuangalia amani ya Tanzania inayopatikana Chato?!
Nyie jinga sana.
Umeshikwa na mihemko ya Imani.... Najua unataka kuacha suala la msingi kuwa maendeleo hayawezi kusimama kwa kelele zenu na kujadili Dini... Siko huko.Christians mostly are a stupid group of people
They are all inherently dictators and a bunch of butter cups
Anakutajia Kristo yeye akidhani by default wanadamu wote duniani wanajua and ku-subscribe kwa huyo mtu wake anaemjua anaeitwa "Kristo"
Ni audacity ya ajabu sana
Sio hata audacity ni ignorance and stupidity hii
Wakristo hawaamini kua more zaidi ya nusu ya hii dunia hawajui neno Kristo achilia mbali maana yake
Hii ni kuchukua beliefs zake na push down everybodys' throat kwa lazima,making it a deadly theocracy
Unaongelea siasa,weka siasa mezani,mambo yako na Kristo au imani yako ni binafsi yako,we dont need to know it
Yaani huwezi ongelea siasa bila kum-smuggle Jesus Christ into the discussion as if yeye ndio siasa yenyewe?
Tujifunze kuweka vitu vyetu private for ourselves na ku-deal na topic husika bila kuchanganya hizo private imani zetu into that maana ulimwengu mzima tunahusika hapo sio wakristo wenyewe
Labda Kristo WA CCM chama cha mazezeta anayeitwa mheshimiwa chatoKumekuwa na kelele nyingi zinazohusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa Nchini, awali vigezo vya kupingwa maendeleo ilikuwa "SERIKALI INAFANYA MIRADI ISIYOSAIDIA WATU WOTE".
Ununuzi wa ndege ulipingwa, ujenzi wa reli ulipingwa, mradi wa bwawa la kufua umeme ulipingwa hata elimu bila malipo ilipingwa.
Baada ya Mhe. Rais Magufuli na Serikali kukaza msuli na kuonesha matokeo chanya, wale wote waliopinga miradi hii kutekelezwa wamehamishia hasira zao Chato.
Kwanza nawapa pole sana kwakuwa maendeleo hayataweza kusimama kwakuwa mpinga maendeleo anapiga yowe.
Kwa wanaosoma maandiko matakatifu watakubaliana nami kuwa Yesu alipingwa alipoponya, alipofufua, alipofundisha pia. Mwisho walihamishia hasira zao kwenye uhai wake, lakini neno halikukoma.
Hivyo nchi itaendelea kusonga mbele na hata Msipoisema Chato basi mtaisema Tandahimba.
Kwahiyo waislam wote ni wapinga maendeleo?Kumekuwa na kelele nyingi zinazohusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa Nchini, awali vigezo vya kupingwa maendeleo ilikuwa "SERIKALI INAFANYA MIRADI ISIYOSAIDIA WATU WOTE".
Ununuzi wa ndege ulipingwa, ujenzi wa reli ulipingwa, mradi wa bwawa la kufua umeme ulipingwa hata elimu bila malipo ilipingwa.
Baada ya Mhe. Rais Magufuli na Serikali kukaza msuli na kuonesha matokeo chanya, wale wote waliopinga miradi hii kutekelezwa wamehamishia hasira zao Chato.
Kwanza nawapa pole sana kwakuwa maendeleo hayataweza kusimama kwakuwa mpinga maendeleo anapiga yowe.
Kwa wanaosoma maandiko matakatifu watakubaliana nami kuwa Yesu alipingwa alipoponya, alipofufua, alipofundisha pia. Mwisho walihamishia hasira zao kwenye uhai wake, lakini neno halikukoma.
Hivyo nchi itaendelea kusonga mbele na hata Msipoisema Chato basi mtaisema Tandahimba.
Sasa wewe kwa macho yako ya kibazazi uniona Yesu kafananinishwa na nini?, mimi naona zimeelezwa tabia za watu wasio na pema.Acha kufananisha YESU na mambo ya kijinga jinga