Nimeshangaa sana kuona mbunge mzoefu na wa siku nyingi kama Mhe. Mpina kusimamia na kuomba muongozo wa Spika chini ya kifungu cha 70 badala ya kifungu cha 76 kama alivyorekebishwa na Spika leo hii kabla ya Bunge kufungwa na Mhe. Waziri Mkuu.
Spika katoa ufafanuzi juu ya mazingira ya kutumia kanuni ya 70 ni pale anapo zungumza mchangiaji kwa wakati huo lkn Mbunge Mpina alitaka kutumia kanuni hiyo kwa mazingira ambayo yalisha pita, yaani matukio/mjadala ulifanyika mwezi wa 5 halafu anaomba muingozo wa spika leo hii.
Spika kasisitiza kuwa sio sahihi.
Je, hii ni dalili kuwa mbunge huyu kapoteza kabisa utulivu, sijui kwanini?
utulivu na umakini ni jambo muhimu sana kwa wabunge wake.
Spika katoa ufafanuzi juu ya mazingira ya kutumia kanuni ya 70 ni pale anapo zungumza mchangiaji kwa wakati huo lkn Mbunge Mpina alitaka kutumia kanuni hiyo kwa mazingira ambayo yalisha pita, yaani matukio/mjadala ulifanyika mwezi wa 5 halafu anaomba muingozo wa spika leo hii.
Spika kasisitiza kuwa sio sahihi.
Je, hii ni dalili kuwa mbunge huyu kapoteza kabisa utulivu, sijui kwanini?
utulivu na umakini ni jambo muhimu sana kwa wabunge wake.