Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,217
Umejibu vizuri, Kuna shida ya uelewa watu wengi humu jf na mtaani. Waziri hawezi kuiwajibisha serikali kwa kuwa yeye ndio serikali.Hawaruhusiwi, wao ni watoa majibu, na kwa sababu watamuulizaje jambo waziri mwenzao Bungeni? Ndio maana watu wanapendekeza mawaziri wasitokane na wabunge. Ukiwa na mbunge akawa waziri basi hawezi tena kuwasemea Bungeni. Kama kuna swali atauliza kwenye vikao vya baraza la mawaziri
Waziri ndio anajibu yote yanayoulizwa kuhusu serikali.