Mpigania Uhuru na Mwasisi wa TAA, Dr. Vedastus Kyaruzi afariki dunia!

Haya ndo mapungufu ya Mwl Nyerere,Aliwapoteza kwenye Historia akina Kyaruzi ili abaki pekee kwenye Historia na kuna vijitu vinaamini uhuru wa nchi hii ni matokeo ya harakati za miaka 6 i.e 1954 (kuzaliwa TANU) mpaka uhuru wa 1961, Hawajui kuwa Tanu imekuja kukamilisha kazi za wakongwe kama DR.Kyaruzi, Kwa mfano ukiwauliza vijana wasomi wa kisasa wakutajie wapigania Uhuru 10 wa nchi hii,itawachukua muda sana na kama wakijitahidi watakutajia waliokuwa mawazir wa kwanza wa Serikali wakati hao wapigania uhuru walitupwa kulleeeeeeee!!!!!! Watoto wetu hawajui kuwa Professa Babu ni Nguli wa Siasa ya Ujamaa Duniani mpaka leo wajamaaa Dunia nzima wanaadhimisha SIKU ya kifo chake kwa Mijadala yenye Afya.Buriani Dr.Kyaruzi historia ya VITABUNI umeachwa lakin kamwe vifuani mwa wapenda ukweli utadumu!
Jamani isitokee ktk kifo cha huyu babu wetu, kamanda wetu mkaanza unafiki na majungu. Dr.Kyaruzi na Nyerere wote walikutana Tabora secondary, ikiitwa Milambo secondary. Na wote walikwenda Makelele Uganda. Nawaomba sana msome maelezo yake mwenyewe marehemu Dr. Kyaruzi ukurasa wa 394 pia ni vizuri sana mkisoma habari hii toka nyuma na kuendelea mpate kujua mengi ya historia ya nchi yetu na watu waliohusika ambao hadi leo hawafahamiki na kwa sababu mbali mbali. Kifupi dr. mwenyewe anasema Nyerere alikuwa na tabia ya kuamini watu wasioaminika na kweli kabisa haya ndio mapungufu makubwa ya Nyerere ambayo yame tugharimu sana.

RIP Dr. Kyaruzi - Mpambanaji.
 
Ni siku ya huzuni kwa kweli; ndio waasisi wetu hasa wa taifa letu hawa. Mungu ailaze roho ya mzee Kyaruzi pema peponi. Huwezi kabisa kuandika historia ya kupigania haki za wananchi nchini bila kutaja jina la mzee Kyaruzi. End of an Era!
 
Jamani isitokee ktk kifo cha huyu babu wetu, kamanda wetu mkaanza unafiki na majungu. Dr.Kyaruzi na Nyerere wote walikutana Tabora secondary, ikiitwa Milambo secondary. Na wote walikwenda Makelele Uganda. Nawaomba sana msome maelezo yake mwenyewe marehemu Dr. Kyaruzi ukurasa wa 394 pia ni vizuri sana mkisoma habari hii toka nyuma na kuendelea mpate kujua mengi ya historia ya nchi yetu na watu waliohusika ambao hadi leo hawafahamiki na kwa sababu mbali mbali. Kifupi dr. mwenyewe anasema Nyerere alikuwa na tabia ya kuamini watu wasioaminika na kweli kabisa haya ndio mapungufu makubwa ya Nyerere ambayo yame tugharimu sana.

RIP Dr. Kyaruzi - Mpambanaji.

unajua tafsir ya neno unafki na majungu? Usipende kutumia msamiati kwa kuwa watu wengi wanautumia bila ya kujua maana halisi ya neno lenyewe!! Umeanza kwa kupinga nilichoandika lakin mwishowe umeniunga mkono,mfumo wa viongoz wetu kukataa kukosolewa muasis wake ni Mwl Nyerere! Sihitaji kusoma page uliyonukuu ili nijue kuwa Mwl aligombana na Mzee Christopher Kasanga tumbo kwa kukosoa mfumo wa vijiji vya vya ujamaa,nukuu page inayoonesha maendeleo ya vijiji vya ujamaa, unajua Oscar Kambona alipinga mfumo wa ujamaa wa kisiasa badala ya wa uchumi ambapo vyama vya ushirika na makampuni wakapewa makada wa Tanu badala ya wataalam, nukuu page inayoonesha sababu zakukosekana hata chumvi,mafuta,unga ,sukari 1985 ili uthibitishe unafki wangu.
 
Kweli akina Fundikila,Sykes,Kyaruzi n.k leo serikali zetu zinawakanyaga na kwenda kuwabeba akina Kanumba huku wakijiaibisha?

Ndo maana CDM ina rangi nyekundu ktk bendera yake kwa ajiri ya kuenzi wapiganaji hawa na daima tutawakumbuka babu zetu wapiganaji milele yote.



Nimeipenda hii!
Dr! Pumzika kwa Amani yake Bwana wetu!
 
This is very sad news to true wazalendo. I first met Dr Vedasto Kyaruzi at the Ministry of Foreign Affairs when, in his capacity as Permanet Secretary, he summoned me to go and explain how we could hasten the Africanization of his ministry's non-diplomatic staff.

I had then been newly appointed Chief Establishment Officer responsible for Africanization and training in the Prime Minister's Office. He talked very forcefully about the need to post competent wazalendo to handle the delicate matters carried out by his new ministry, and I agreed with him on the need to choose the right people to post as his assistants. He was very kind to me and we became friends from then onwards. When three years later I was appointed Permanent Secretary to the Treasury, our friendship deepened, but he retired soon afterwards.

We had not been much in contact since he retired until I bumped into him in Bukoba a few years ago when, as Chairman of TaCRI, I was visiting the coffee research station at Maruku. It is sad to learn that he has passed on.

May the Almighty God rest his soul in eternal peace.

AMEN.
 
RIP Dr Kyaruzi, poleni sana familia ya akina Nshunju wote popote mlipo na watanzania wote kwa ujumla. Kwa faida ya wanajf huyu marehemu ni baba mdogo wa mbunge wetu msema pumba bungeni mbunge wa nkenge ASSUMPTA MSHAMA.
 
Jamani isitokee ktk kifo cha huyu babu wetu, kamanda wetu mkaanza unafiki na majungu. Dr.Kyaruzi na Nyerere wote walikutana Tabora secondary, ikiitwa Milambo secondary. Na wote walikwenda Makelele Uganda. Nawaomba sana msome maelezo yake mwenyewe marehemu Dr. Kyaruzi ukurasa wa 394 pia ni vizuri sana mkisoma habari hii toka nyuma na kuendelea mpate kujua mengi ya historia ya nchi yetu na watu waliohusika ambao hadi leo hawafahamiki na kwa sababu mbali mbali. Kifupi dr. mwenyewe anasema Nyerere alikuwa na tabia ya kuamini watu wasioaminika na kweli kabisa haya ndio mapungufu makubwa ya Nyerere ambayo yame tugharimu sana.

RIP Dr. Kyaruzi - Mpambanaji.

Kitabu kinaitwaje?
 
Jamani isitokee ktk kifo cha huyu babu wetu, kamanda wetu mkaanza unafiki na majungu. Dr.Kyaruzi na Nyerere wote walikutana Tabora secondary, ikiitwa Milambo secondary. Na wote walikwenda Makelele Uganda. Nawaomba sana msome maelezo yake mwenyewe marehemu Dr. Kyaruzi ukurasa wa 394 pia ni vizuri sana mkisoma habari hii toka nyuma na kuendelea mpate kujua mengi ya historia ya nchi yetu na watu waliohusika ambao hadi leo hawafahamiki na kwa sababu mbali mbali. Kifupi dr. mwenyewe anasema Nyerere alikuwa na tabia ya kuamini watu wasioaminika na kweli kabisa haya ndio mapungufu makubwa ya Nyerere ambayo yame tugharimu sana.

RIP Dr. Kyaruzi - Mpambanaji.

Dah, inabidi kweli documentaries zitengenezwe. Maanake tunaambiwa Tabora Secondary iliitwa Milambo!
 
Jamani isitokee ktk kifo cha huyu babu wetu, kamanda wetu mkaanza unafiki na majungu. Dr.Kyaruzi na Nyerere wote walikutana Tabora secondary, ikiitwa Milambo secondary. Na wote walikwenda Makelele Uganda. Nawaomba sana msome maelezo yake mwenyewe marehemu Dr. Kyaruzi ukurasa wa 394 pia ni vizuri sana mkisoma habari hii toka nyuma na kuendelea mpate kujua mengi ya historia ya nchi yetu na watu waliohusika ambao hadi leo hawafahamiki na kwa sababu mbali mbali. Kifupi dr. mwenyewe anasema Nyerere alikuwa na tabia ya kuamini watu wasioaminika na kweli kabisa haya ndio mapungufu makubwa ya Nyerere ambayo yame tugharimu sana.

RIP Dr. Kyaruzi - Mpambanaji.
KItabu chake kinapatikana wapi? RIP Dr Kyaruzi
 
Nyerere hakuwahi kuandika kitabu chochote kujitukuza kuwa yeye ndie alieleta uhuru, wala hakuwahi kumzuia mtu kuandika kitabu kinachotoa alternative version ya historia ya nchi yetu. Sasa mnaomshutumu ni kwa ajili gani?

RIP Dr Kyaruzi!
 
Haya ndo mapungufu ya Mwl Nyerere,Aliwapoteza kwenye Historia akina Kyaruzi ili abaki pekee kwenye Historia na kuna vijitu vinaamini uhuru wa nchi hii ni matokeo ya harakati za miaka 6 i.e 1954 (kuzaliwa TANU) mpaka uhuru wa 1961, Hawajui kuwa Tanu imekuja kukamilisha kazi za wakongwe kama DR.Kyaruzi, Kwa mfano ukiwauliza vijana wasomi wa kisasa wakutajie wapigania Uhuru 10 wa nchi hii,itawachukua muda sana na kama wakijitahidi watakutajia waliokuwa mawazir wa kwanza wa Serikali wakati hao wapigania uhuru walitupwa kulleeeeeeee!!!!!! Watoto wetu hawajui kuwa Professa Babu ni Nguli wa Siasa ya Ujamaa Duniani mpaka leo wajamaaa Dunia nzima wanaadhimisha SIKU ya kifo chake kwa Mijadala yenye Afya.Buriani Dr.Kyaruzi historia ya VITABUNI umeachwa lakin kamwe vifuani mwa wapenda ukweli utadumu!

Songoro,
Kuna mengi ambayo watoto wa siku hizi hawajui, na hilo haliwezi kuwa kosa la Nyerere. Mtu mwenye bidii ndogo tu ya kujisomea historia hii atakuwa anaifahamu.

Nikupe mfano, miaka michache iliyopita taifa liliondokewa na kocha pekee ambae (hadi leo) ndie alieiwezesha Taifa Stars kufaulu kuingia fainali ya kombe la Mataifa ya Afrika 1980 Mchungaji/Eng Elijah Kategile. Hakuna gazeti hata moja lililoripoti habari hiyo. Kama tukio la 1980 (na linahusiana na mchezo unaopendwa sana) halikukumbukwa, unategemea wakumbuke mambo ya 1950's? Kama kuna wa kulaumiwa hapa sidhani kuwa mtu huyo ni Nyerere!
 
Nchi ndio maana tutazidi kuishi kwenye lindi la ufukara ! Watu wenye hekima ambao walituongoza kwa hekima na uadilifu walifichwa uvunguni tukabaki na wahuni na washerekeshaji. Matapeli wa kisiasa, mafisadi na mabaradhuri . Dr kyaruzi ni mmoja wa tunu ambazo zilifichwa kwa makusudi. Wakatukuzwa matapeli na wasanii wa siasa. Msomi aliyefanyia mengi nchi hii, lakini historia ikafichwa hili tusimtambue.
Tanzani tambua na tengeneza na weka historia ,
 
RIP Dr. kumbe ulikuwa mtu muhimu hivi.....

wa tanzania wengi wamemeza kwamba nyerere ndiye aliyepigania uhuru .... shukran ziende kwa serikali katika zile sherehe za kitaifa waliwataja wazee waliwwezesha sisi kupata uhuru!


 
TUWEKE HISTORIA VIZURI , KIFUATACHO NI KIPANDE CHA KIFUPI KUTOKA KWENYE KITABU ALICHOANDIKA DR KYARUZI MWENYEWE AMBACHO SINA UHAKIKA KAMA KILICHAPISHWA.
............At the time I got to St. Mary's at Tabora in 1939 Mwalimu was at Tabora School. I loved and played football. At that time there were three strong teams at Tabora Railways, Tabora School and St. Mary's. The players in these teams knew one another well – friends off the field and "Enemies" at the games. The others knew a new addition to any of these teams within the week. At that time failure at examination often meant expulsion but for a good football player the rule was usually waved. It was rumored that one star at Tabora school was kept for years irrespective of poor classroom performance. Mwalimu was not one of us. I am sure he cheered his school team but I don't remember him jump and down when his team won the match.


I went to Makerere in 1942 and Mwalimu joined us the following year. Here again Mwalimu was academic. I don't remember him in any sport. He was pleasant and nice to talk to, always cheerful and very fond of his books.
 
Dr Luciano Tsere is among those who participated in independence movements and has been forgotten.may be i was not fortunate to see all posts and articles during 50yrs independence celebration but I never heard anyone among our current leaders who publically mentioned existence of the famous five young doctors who were at the centre of early independence strugles…alongside Other youth who were dar natives, the likes of Abdulwahid Sykes,Ally sykes, Tewa Said Tewa,Dosa Aziz,Hamza Mwapachu,Steven Muhando and John Rupia

The five doctors names were the first youth TAA president, Dr Vedasto Kyaruzi, Dr Joseph Mutahangarwa, Dr Luciano Tsere, Dr Michael Lugazia and Dr WILBARD MWANJISI who was once a president of TAGGSA( Labour union) .
 
Dr Luciano Tsere is among those who participated in independence movements and has been forgotten.may be i was not fortunate to see all posts and articles during 50yrs independence celebration but I never heard anyone among our current leaders who publically mentioned existence of the famous five young doctors who were at the centre of early independence strugles…alongside Other youth who were dar natives, the likes of Abdulwahid Sykes,Ally sykes, Tewa Said Tewa,Dosa Aziz,Hamza Mwapachu,Steven Muhando and John Rupia

The five doctors names were the first youth TAA president, Dr Vedasto Kyaruzi, Dr Joseph Mutahangarwa, Dr Luciano Tsere, Dr Michael Lugazia and Dr WILBARD MWANJISI who was once a president of TAGGSA( Labour union) .
Mkuu Omukajunguti, asante kwa update hizi, Nakumbuka mwaka fulani mitaa mingi ya jiji la DSM ilipewa majina ya wazalendo hawa japo sijui kama Dr. Kyaruzi nae anao mtaa wa kumuenzi.

Wako madaktari wa kabla ya uhuru wameenziwa, mfano Dr. Sewa Haji ngoja nifanye rejea kule kwa Maalim Mohamed Saidi niwakumbuke wengine.
 
unajua tafsir ya neno unafki na majungu? Usipende kutumia msamiati kwa kuwa watu wengi wanautumia bila ya kujua maana halisi ya neno lenyewe!! Umeanza kwa kupinga nilichoandika lakin mwishowe umeniunga mkono,mfumo wa viongoz wetu kukataa kukosolewa muasis wake ni Mwl Nyerere! Sihitaji kusoma page uliyonukuu ili nijue kuwa Mwl aligombana na Mzee Christopher Kasanga tumbo kwa kukosoa mfumo wa vijiji vya vya ujamaa,nukuu page inayoonesha maendeleo ya vijiji vya ujamaa, unajua Oscar Kambona alipinga mfumo wa ujamaa wa kisiasa badala ya wa uchumi ambapo vyama vya ushirika na makampuni wakapewa makada wa Tanu badala ya wataalam, nukuu page inayoonesha sababu zakukosekana hata chumvi,mafuta,unga ,sukari 1985 ili uthibitishe unafki wangu.
Huu ndio unafiki wenyewe na umejionyesha vizuri. sasa huyo Christopher Kasanga alikuwa nani ktk kupigania Uhuru wetu hadi apate kuheshimiwa?.. Hii ya Vijiji vya Ujamaa na kifo cha Dr. Kyaruzi vinahusianaje na mwalimui Nyerere?..Wee nambie kiongozi yeyote musisi wa TANU aliyefariki wakati wa Nyerere na hakupewa heshima zote za kichama na kitaifa.

Na huyo Kambona kupinga Ujamaa ndio kunamfanya yeye alikuwa mbora zaidi mbona alishindwa hata kupata support ya wananchi aliporudi na kuanzisha chama. Zaidi ya yote yanahusiana vipi na kifo hiki kiasi kwamba hasira zako zote unamwekea Nyerere hata katika maamuzi yenu wenyewe. Vyama vya ushirika gani unavyovifahamu wewe huendeshwa na watalaam maana nijuavyo mimi uongozi wa Union haihusiani na ujuzi wa kazi hiyo isipokuwa mawasiliano baina ya wanachama na serikali kuwezehsa policies zinazolenga ubora wa huduma na uzalishaji. Ni watu kama nyie mnaoamini sana mtu akiwa Doctors basi nditye Mungu wa dunia..Leo mnashindwa kumuenzi mtu kama Kyaruzi kwa visingizio vya Nyerere kumbe ujuha wenu wenyewe.
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom