TANZANIA PATRIOT
Member
- Jul 2, 2019
- 32
- 43
This story is unavailable.
Wewe huchukii ushoga au wewe ni mgongoni mwa wale mliokuwa mnatetewa!!!Udikteta.
Ndio nachukia ushoga mkuu,lakini huo si udikteta pia ama sio?Wewe huchukii ushoga au wewe ni mgongoni mwa wale mliokuwa mnatetewa!!!
Shangazi yao hajakamatwe?View attachment 1147141
Mpigania Haki za mashoga (LGBT) Nchini Goodluck Haule na wenzie watatu wameshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala, Dar es salaam kwa makosa mbali mbali ikiwemo kusambaza ushoga Nchini pamoja na kutorosha mashoga Nchini kinyume na sheria.
Taarifa za Jeshi la Polisi Tanzania zinasema kwamba Haule na wenzie wamekuwa wakitumiwa na nchi za magharibi kupigania haki za mashoga na kusambaza ushoga Nchini.
Serikali imesema haipo tayari kuona Taifa linateketea kwa vitendo vya kishoga na ipo tayari kukabiliana na vikundi au watu wanaotumika kusambaza na kuhamasisha vitendo vya kishoga Nchini.
Taarifa za Jeshi la Polisi Tanzania zinasema kwamba Haule amekimbia nje ya nchi baada ya taarifa kwamba anatafutwa.
Je, nini maoni yako?
Lissu ni memberLGBT sio mashoga tuu ni kikundi/taasisi ya watu wanao shiriki mapenzi ya jinsia moja na walio badili jinsia zao chenye lengo la kutetea maslai yao kwahyo hiki kikundi ni cha watu wengi si mashoga tu
Kama tunashindwa kupambana na kipindu pindu au dengue, obviously ushoga hatuuwezi.Hivi ushoga unarudisha vipi nyuma mchakato wa maendeleo katika taifa
Kwann wajitangaze na kujionyesha kwenye jamii si wafanye kimya huko sirini.Ushoga kama umalaya ulikiwepo na itakuwepo. Makonda amefanya nini kukomesha uchangudoa? So long as anaefanya anapenda na anaefanywa ameridhika na hicho kitendo na wanafanyia sirini, Sisi wengine tutabaki na maneno tu.
Hizi nguvu zingepelekwa kupambana na Matumizi ya madawa ya kulevya...Kama tunashindwa kupambana na kipindu pindu au dengue, obviously ushoga hatuuwezi.
Wewe ni shoga?Hivi ushoga unarudisha vipi nyuma mchakato wa maendeleo katika taifa