Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,578
Saturday, May 8, 2010
MPIGANAJI ATHUMANI HAMISI APATA MAPOKEZI YA KISHUJAA
MPIGANAJI ATHUMANI HAMISI APATA MAPOKEZI YA KISHUJAA
Mpiganaji Athumani Hamisi ambaye alikuwa matibabu sauzi kufuatia ajali ya gari mwaka jana akipokea maua toka kwa Bi. Mwanakombo Jumaa, mpiga picha na afisa habari mwandamizi wa MAELEZO alipotua jijini Dar leo jioni na kupokelewa na umati mkubwa wa wapiga picha wa habari, ndugu jamaa na marafiki wakiongozwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Salva Rweyemamu, Kaimu Mhariri mkuu wa Daily News na HabariLeo Mkumbwa Ally, Mhariri Isaac Mruma, baba yake Athumani, Mzee Hamisi Msengi na wadau wengine kibao.
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bw. Salva Rweyemamu
akimpokea Athumani Hamisi kwa furaha
Athumani Hamisi akiwa na Baiskeli ya umeme anayotumia akiongoza umati uliojitokeza kumpokea
Mhariri Isaac Mruma akimpokea maua Athumani
ambaye kaja na nesi maalumu (wa pili shoto)
Mwenyekiti wa Chama cha Wapiga picha za habari Mwanzo Millinga akimkabidhi Athumani Hamisi kadi maalumu iliyosainiwa na wapiga picha wote kumkaribisha nyumbani
Baba Mzazi wa Athumani Hamisi mzee Msengi akimpokea mwanae
Athumani Hamisi akitoka machozi baada ya
kumtia machoni rafiki yakeMatina Nkurlu wa Vodacom na dada yake (shoto) Mpiga picha mkuu wa Globu ya Jamii Francis Dande akimpokea Athumani Hamisi
Ankal akirekodi ujio wa Athumani Hamisi akitumia FlipVideo
athumani akielekea kupanda ambulance iliyokuja kumpokea
.. Athumani akiingizwa kwenye ambulance kabla ya kuelekea nyumbani kwake ambako atahudumiwa na nesi maalumu aliyekuja naye kutoa mafunzo yamwezi mmoja kwa mtu atakayemhudumia wakati wote. Mpiganaji Athumani Hamisi, pamoja na kuwa amepooza mwili mzima, ameonesha ushujaa wa aina yake kwa kuweza kumtambua kila aaliyemuona na kuongea naye kwa ucheshi wake wa kawaida. Globu ya Jamii inaungana na ndugu, jamaa na marafiki kumuombea apate nafuu na kurejea katika ulingo wa mapambano ya habari.
Source: Blog ya Michuzi.
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Bw. Salva Rweyemamu
akimpokea Athumani Hamisi kwa furaha
Athumani Hamisi akiwa na Baiskeli ya umeme anayotumia akiongoza umati uliojitokeza kumpokea
Mhariri Isaac Mruma akimpokea maua Athumani
ambaye kaja na nesi maalumu (wa pili shoto)
Mwenyekiti wa Chama cha Wapiga picha za habari Mwanzo Millinga akimkabidhi Athumani Hamisi kadi maalumu iliyosainiwa na wapiga picha wote kumkaribisha nyumbani
Baba Mzazi wa Athumani Hamisi mzee Msengi akimpokea mwanae
Athumani Hamisi akitoka machozi baada ya
kumtia machoni rafiki yakeMatina Nkurlu wa Vodacom na dada yake (shoto) Mpiga picha mkuu wa Globu ya Jamii Francis Dande akimpokea Athumani Hamisi
Ankal akirekodi ujio wa Athumani Hamisi akitumia FlipVideo
athumani akielekea kupanda ambulance iliyokuja kumpokea
.. Athumani akiingizwa kwenye ambulance kabla ya kuelekea nyumbani kwake ambako atahudumiwa na nesi maalumu aliyekuja naye kutoa mafunzo yamwezi mmoja kwa mtu atakayemhudumia wakati wote. Mpiganaji Athumani Hamisi, pamoja na kuwa amepooza mwili mzima, ameonesha ushujaa wa aina yake kwa kuweza kumtambua kila aaliyemuona na kuongea naye kwa ucheshi wake wa kawaida. Globu ya Jamii inaungana na ndugu, jamaa na marafiki kumuombea apate nafuu na kurejea katika ulingo wa mapambano ya habari.
Source: Blog ya Michuzi.