mpigaji, bujibuji, popobawa, mchwechele, jimbi na wengine kaeni chonjo

wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa kupigwa viboko. so wale wateja wa kule hakikisha unaenda na change kabisa la sivyo kesho yake watu watakushangaa ulivyo na ngeu mwili mzima. kuna jamaa wawili wameshughulikiwa juzi na jana. ni hayo tu washikaji. Mia

Haloo jiti mi niliopoa juzi kati hapa tukaenda kulana kwenye pangare sasa si alikuwa kainama chini chumba mboga kumbe ananisachi mfukoni baada ya gemu nikajikuta sina wallet wala simu
 
Haloo jiti mi niliopoa juzi kati hapa tukaenda kulana kwenye pangare sasa si alikuwa kainama chini chumba mboga kumbe ananisachi mfukoni baada ya gemu nikajikuta sina wallet wala simu
Mkuu wewe ulifanya kosa la kiufundi. muulize popobawa how we do. wakati wa kwenda kule hautakiwi kwenda na simu, waleti wala kitambulisho chochote. hata hela yao unaenda umeishika mkononi. mkienda wawili ndo vizuri. mmoja wakati anachoma mwingine anaangalia usalama. Mia
 
Mkuu wewe ulifanya kosa la kiufundi. muulize popobawa how we do. wakati wa kwenda kule hautakiwi kwenda na simu, waleti wala kitambulisho chochote. hata hela yao unaenda umeishika mkononi. mkienda wawili ndo vizuri. mmoja wakati anachoma mwingine anaangalia usalama. Mia

dah!! nigga we mkare ....... technique zote unazo,itabidi nijivue hizi nyota nilizo2nukiwa huku kitaa nikuvalishe ww!! 100.
 
dah!! nigga we mkare ....... technique zote unazo,itabidi nijivue hizi nyota nilizo2nukiwa huku kitaa nikuvalishe ww!! 100.

Mkuu nashukuru kwa kunipa maujanja. hadi hapa mkuu nyota zote bado unazo. asante kwa kuniongezea cheo. wiki hii lazima nikutafute twenzetu tabata. Mia
 
Halafu hao ni wazuri wakiolewa!!
Wanashikiria ndoa over yai!!

kuna jamaa mmoja alioa changu pale kibondo. sasa hivi wana watoto wawili na ndoa haina kelele hadi jamaa mwenye kaapreciate kwamba demu wake katulia. sasa hivi wanaishi zao nengo kwenye nyuma aliyo jenga yeye akishirikiana na mkewe. huwa wanatulia sana. wenyewe wanakuambia kila kitu kafanya hakuna alicho bakiza. Mia
 
Mkuu nashukuru kwa kunipa maujanja. hadi hapa mkuu nyota zote bado unazo. asante kwa kuniongezea cheo. wiki hii lazima nikutafute twenzetu tabata. Mia

Wa tabata kwani huwa hawaringi? mana isije ikawa kama wale wa pale kona bar!! ukiwaambia kuhusu TIGO wanakukimbia km vile umemtajia kunyongwa ........100.
 
Back
Top Bottom