I see wa maeneo gani hao?mia
wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa kupigwa viboko. so wale wateja wa kule hakikisha unaenda na change kabisa la sivyo kesho yake watu watakushangaa ulivyo na ngeu mwili mzima. kuna jamaa wawili wameshughulikiwa juzi na jana. ni hayo tu washikaji. Mia
Mkuu wewe ulifanya kosa la kiufundi. muulize popobawa how we do. wakati wa kwenda kule hautakiwi kwenda na simu, waleti wala kitambulisho chochote. hata hela yao unaenda umeishika mkononi. mkienda wawili ndo vizuri. mmoja wakati anachoma mwingine anaangalia usalama. MiaHaloo jiti mi niliopoa juzi kati hapa tukaenda kulana kwenye pangare sasa si alikuwa kainama chini chumba mboga kumbe ananisachi mfukoni baada ya gemu nikajikuta sina wallet wala simu
Wapigaji wa hayo mambo utawajua tu! mia
Ebanaee,kazi kweli kweli!
Mkuu wewe ulifanya kosa la kiufundi. muulize popobawa how we do. wakati wa kwenda kule hautakiwi kwenda na simu, waleti wala kitambulisho chochote. hata hela yao unaenda umeishika mkononi. mkienda wawili ndo vizuri. mmoja wakati anachoma mwingine anaangalia usalama. Mia
dah!! nigga we mkare ....... technique zote unazo,itabidi nijivue hizi nyota nilizo2nukiwa huku kitaa nikuvalishe ww!! 100.
Halafu hao ni wazuri wakiolewa!!
Wanashikiria ndoa over yai!!
Mkuu nashukuru kwa kunipa maujanja. hadi hapa mkuu nyota zote bado unazo. asante kwa kuniongezea cheo. wiki hii lazima nikutafute twenzetu tabata. Mia