Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,723
Habari ya uchunguzi katika gazeti la mwananchi la leo. Hii ipo katika madanguro yaliyopo TMK. Aidha kwa siku wana uwezo wa kuingiza hadi 50 elfu ila mara nyingi ni kati ya 20 na 30 elfu. Eneo tajwa hakuna kavukavu ni mwendo wa kifanyio. Nimeupenda ubunifu wao wa kulinda maslahi yao.
Naamini ni wakati mujarabu wa serikali kuiruhusu biashara hii kwa maendeleo ya WANAWAKE na nchi kwa ujumla kwani watalipa kodi itakayofanya mambo mengine ya maendeleo kwa nchi na wananchi wake.
Bazazi ni Bazazi tu.
We kweli ni Bazazi,u muumini wa dini gani wewe?