Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,440
- 92,801
Ulichonifurahisha ni kwamba Wazee Msoga kumbe tunao humu wanaperuzi kama Guest, basi na sisi tutaendelea na wajibu wetu wa kuwaweka uchi hata kama wamevaa nguo.Swali lilipaswa kuwa Salva ni nani, na sio kazi yake ni nini?, kwani huyo Michuzi au Premmy unajua kazi zao ni nini ila kazi ya Salva ndio huijui?.
Ninachoweza kusema ni Salva ni Mkurugenzi wa Mawasiano Ikulu. Naombeni msiniulize zaidi mambo ya Ikulu, mimi sio mfanyakazi wa Ikulu, only Michuzi is a good friend!, wenyewe wa ikulu, wamo humu wamejaa kibao!, ila wamejinyamazia kimya kama sio!.