Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,348
- 6,472
Hii sio mchezo, pale mpiga picha anapoanguka wakati akitafuta focus nzuri huku mpigwa picha anakwepa 'mtutu' wa kamera. 'Mtutu' wa kamera ni zoom na focus rings/ mount lens.
Hivi sio vyema sasa wapiga picha wavae kofia ngumu na sponge-like suruali na mashati au vulana kama wacheza golf au clicket?
Hivi sio vyema sasa wapiga picha wavae kofia ngumu na sponge-like suruali na mashati au vulana kama wacheza golf au clicket?