Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Kama , mkurugenzi wa ilala. Aliposema jana kosa ni la ofisi ya mpigachapa Mkuu
Basi nilitarajia by saa sita mchana angekuwa amejiuzulu
Najiuliza
Gharama za makaratasi yaliokosewa nchi nzima nani awajibike huu ni upuuzi na uzembe mgombea wa CHADEMA uandike nafasi ya CCM huu ni wehu.
Basi nilitarajia by saa sita mchana angekuwa amejiuzulu
Najiuliza
Gharama za makaratasi yaliokosewa nchi nzima nani awajibike huu ni upuuzi na uzembe mgombea wa CHADEMA uandike nafasi ya CCM huu ni wehu.