sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Na wewe nani aliyekwambia mpesa master card si salama??? Siku zote mtu anapokosa maarifa na discipline hufanya makosa na huanza kulalamika kwamba kaonewa, Mtu kaona mtu anatangaza facebook dawa ya utajiri na akalipia ila hajapokea dawa, hapo kweli kuna haja ya kuanza kulalamikia voda???? Wengine hizi mpesa card tunatumia bila matatizo yoyote na hadi sasa nimefanya na kuwafanyia watu miamala isiyopungua mia na yote ilitikiHivi who told you Mpesa Mastercard ni salama? Nyie watu, hivi ukipata tatizo unajua bank ya Mpesa Mastercard iko wapi? Sbb tatizo la fedha ukipata unaenda bank na unapata utatuzi, sasa kuwa na Mastercard wakati hujui bank iko wapi ni kosa sana, au wengi mlijua Mastercard ni kama Mpesa au tigopesa ya kawaida tu? Muwe na Mastercard za bank plz.. Mtalizwa sana msipokuwa makini.