chama mpangala
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 507
- 697
VodaCom nathibisha ni wezi !
Jana nililuwa na Tsh.61000. Nikatuma elfu 30 kutoka Voda kwenda Mtandao mwingine wa Airtel,wakaniambia muamala haujakamilika.
Nikatuma tena wakaniambia Sina salio la kutosha. Nilipo angalia salio nikakuta imebakia Elfu 30430.
Nikaenda kwa wakala kulizia namba ya kuwatafuta wakasema ni 100.
Lakini nilipo waelezea tatizo langu pale kwa wakala akaniambia kuna tatizo la kimtandao hasa kutuma pesa kwenda mtandao mwingine, lakini baada ya muda pesa itafika tu. Ilikuwa usiku SAA moja.
Mpaka hivi Leo naandika bado pesa haijafika kule nilikotuma. Nikipiga simu 100 nambiwa niwasiliane na kwa social Media zao.
Imeniwiya ni vigumu sana. Nataka niende Vodashop.
Jana nililuwa na Tsh.61000. Nikatuma elfu 30 kutoka Voda kwenda Mtandao mwingine wa Airtel,wakaniambia muamala haujakamilika.
Nikatuma tena wakaniambia Sina salio la kutosha. Nilipo angalia salio nikakuta imebakia Elfu 30430.
Nikaenda kwa wakala kulizia namba ya kuwatafuta wakasema ni 100.
Lakini nilipo waelezea tatizo langu pale kwa wakala akaniambia kuna tatizo la kimtandao hasa kutuma pesa kwenda mtandao mwingine, lakini baada ya muda pesa itafika tu. Ilikuwa usiku SAA moja.
Mpaka hivi Leo naandika bado pesa haijafika kule nilikotuma. Nikipiga simu 100 nambiwa niwasiliane na kwa social Media zao.
Imeniwiya ni vigumu sana. Nataka niende Vodashop.