American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 667
- 944
Ebaneee nimetoka kupigwa butwaa hapa, yaani kutoka Tsh. 10000 Mpesa wanakata 1500 bila huruma!
Hatari kabisa.
Hatari kabisa.
Na bank kama vile wameongeza. Sasa ni mwendo wakutunza pesa kwenye magodoro.Makato yamekuwa makubwa sana kwenye mobile payments. Hadi kero!
Hayo magawio watayatoa wapi sasa, nikiweka hela kwenye simu ni ya matumizi huko huko kulipia Umeme, king'amuzi, vifurushi
Kwa aliyeko Nanjilinji hana namna... maana ni bora hayo makato kuliko kusafiri kufuata huduma hiyo hiyo mahala ilipo... fikiria ipo Lindi... then inakuwaje.!?Ni makubwa sana, siku hizi palipo na uwezekano natumia benki, huduma za mobile money ni ghali sana siku hiz
Ulitaka upate huduma bure? Kampuni italipaje mishahara? Commission ya Wakala? Kodi? Utilities?Wanakera, hayo makato ni ya ajabu khaa