toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 278
Ndugu zangu wana JF baada ya kufatilia mwenendo wa mpenzi kitabia nimegundua yupo katika hatua ya kuniacha Ili aendelee na maisha yake.
Mwanzoni nilidhani mgogoro wetu licha ya kumuonesha najutia makosa niliomtendea kumuomba msamaha, kubadilika kitabia, kuwa mpole kujitahidi kufanya yote ili kumridhisha lakini ahaaaa wapi hajabadilika na ninachokiona yupo kwenye hatua ya kuniacha.
Kwa kweli hofu imetanda moyoni mwangu sina raha nashidwa kufanya kazi zangu.
Mwanzoni nilidhani mgogoro wetu licha ya kumuonesha najutia makosa niliomtendea kumuomba msamaha, kubadilika kitabia, kuwa mpole kujitahidi kufanya yote ili kumridhisha lakini ahaaaa wapi hajabadilika na ninachokiona yupo kwenye hatua ya kuniacha.
Kwa kweli hofu imetanda moyoni mwangu sina raha nashidwa kufanya kazi zangu.