Mpenzi wangu wakati wa tendo la ndoa anasema anaumia sana chini ya kitovu

Mzalendo39

JF-Expert Member
Apr 17, 2015
882
1,029
Habar wana jamii forum nimekuja ili kupata msaada au ushauri......

Nimekuwa sifurahii tendo la ndoa takriban mwezi hivi sasa na hii inatokana na Mke wangu kuugulia maumivu makali chini ya kitovu, amekuwa akifurahia staili moja tu na nyingine hukataa au katika harakati za tendo la ndoa linaendelea huanza kulia na kusema anaumia chini ya kitovu hali hiyo hufanya dushelele langu kupooza na kusinyaa na kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

Mwenye kujua tatizo hili naomba msaada?
 
Usitumie dog style Na kumkunjaa Sana'a miguu unapotumia kifo cha mendee Mara nying kizaz hurud nyuma na kuwa kifupi na uume huingiaa sanaa hivyo kuhis maumivu sio kwako tyuu ni wanawake weng wanalalamikia hizo style za hatar na kumbukaa kifo cha mende ndo style pendwaa kwa wanawake nyingine anafanya akuridhishe ww tuu.nawasilisha
 
Usiwe unatumia style kama za wana mieleka ulingoni, au za wle wacheza filamu za ngono za kimarekani wewe tumia zile za mababu na mabibi zetu, wewe na yeye wote mtafurahi otherwise mpeleke kwa dokta akakipime kizazi cha mkeo kwa utaalam wake
 
Braza inaonyesha unakamia sanah,,piga kifaza hiyo n starehe co kukomoana
 
We mwenyewe utakuwa na bacteria wanaoitwa fanga pumbu tatizo hilo inaonesha hubadilishi boxer mara kwa mara jitahidi tu kuwa msafi, wcb
 
una dude kubwa kuliko vagina wall yake......unagusa cervix sana thats y anaumia chini ya kitovu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom