Mpenzi wangu ni mbinafsi sana

Dah kanikeraaaaaa watu wengine ni wachoyo by nature, wanapenda kutumia vya wengine, vya kwao visiguswe.
Mm roho yangu ya huruma ndio inaniponzaga Siku zote, MF. Mpz / rafiki tu aniombe hela siwezi mwambia hata kama sina naanza kujaribu kukopa kwa mashoga zangu labda hata huko nukose ndo ntaweza kumwambia sina,

Ingawa huwa Nina mkosi wa pesa yaani ikitokea nikakosa pesa nikamkopea MTU hata kwenye chama hili arudishe, huwa hawanirudishiagi na ikitokea bahati mbaya akarudisha basi ntakuwa nishabebeleza mwaka mzima, ntarejesha hiyo hela mwanzo mwisho loh!

Mleta Mada huyo Dada ndani ya hiyo miaka 4 kama hajawahi kukusaidia wakati wa shida, nakuhakikishia hawezi kubadilika, tena ukimuoa ndio kabisaaaa.

Labda nijue kitu kimoja, huwa anakununuliaga hata zawadi? Kama yeye kwake hakunaga -, kwake + tu achana nae, bora MTU akunyime kitu ujue hana ila unajua na anayo kakunyima? Loh.

Nb. Ukiona hupewi wewe jua kuna mwenzio anapewa hii ni kwa jinsia zote.
Facts
 
lnavyoonekana hamna ushirikiano wa kimaisha Ila MNA uhusiano wa kimapenzi, kama ndivyo, basi kwanza anzakumshirikisha kwenye uendeshaji wa maisha yenu, hilo litamfanya ajiamini na kujiona anahusika na maisha yako. Lakini iwapo hatapenda ushirikiano basi atakua hana mpango wa kuishi na wewe, na wala si mbinafsi kama unavyofikiria.
 
Thanks mkuu....nashukuru
Ukiweza suka mpango wa kumpima.Ujifanye umefulia na huduma zote ukate na umwombe hela ndogo ndogo max 50k kwa ajili ya matibabu n.k.Hata akija nyumbani aone kweli mambo magumu, kama ni friji ni tupu n.k

Mpime uone atareact vipi.
 
Dah kanikeraaaaaa watu wengine ni wachoyo by nature, wanapenda kutumia vya wengine, vya kwao visiguswe.
Mm roho yangu ya huruma ndio inaniponzaga Siku zote, MF. Mpz / rafiki tu aniombe hela siwezi mwambia hata kama sina naanza kujaribu kukopa kwa mashoga zangu labda hata huko nukose ndo ntaweza kumwambia sina,

Ingawa huwa Nina mkosi wa pesa yaani ikitokea nikakosa pesa nikamkopea MTU hata kwenye chama hili arudishe, huwa hawanirudishiagi na ikitokea bahati mbaya akarudisha basi ntakuwa nishabebeleza mwaka mzima, ntarejesha hiyo hela mwanzo mwisho loh!

Mleta Mada huyo Dada ndani ya hiyo miaka 4 kama hajawahi kukusaidia wakati wa shida, nakuhakikishia hawezi kubadilika, tena ukimuoa ndio kabisaaaa.

Labda nijue kitu kimoja, huwa anakununuliaga hata zawadi? Kama yeye kwake hakunaga -, kwake + tu achana nae, bora MTU akunyime kitu ujue hana ila unajua na anayo kakunyima? Loh.

Nb. Ukiona hupewi wewe jua kuna mwenzio anapewa hii ni kwa jinsia zote.
Kweli dada.
 
Harafu ajue kabiza kuwa yuko pekee yake maana siku akipata shida au tatizo la ghafla asitegemee msaada
Ndio hivyo nivizuri tunapoishi tujue tunaishi nawatu waaina gani ili tuishi kwatahadhari
 
Ninachojua maisha ni kusaidiana, ila wanawake tuna tabia moja ni wagumu sana kutoa hela kumpa mwanaume ambae unajua wazi si mume wako kuna hawa watu wa mitandao wanaojifanya kutoa ushauri wa mapenzi mitandaoni wametuharibu akili zetu mpaka basi amini nakuambia hata ukimuacha ukimpata mwingine ni yaleyale kikubwa kaa nae chini muelekeze taratibu mtaenda sawa kuachana sio solution kabisa.
Yaani cjui kwann mke wangu nae haka katabia kabaya kanmnyemelea hasa akishakua na wasiwasi na ww yaani akishika sms za michepuko ni shida sana
 
Hii ni nature ya wanawake karibie wote ni wachache sana wamenusurika na hii tabia amini nakuambia
Hongera naona ww ubebahatika kunusurika na hii tabia mbaya ambayo wanaume wote hatuipendi hata kidogo
 
NAYAHESHIMU MAPENZI ILA KWA HILI NIMESHANGAA HATA MUDA WA KUOMBA USHAURI UMEPATA WAPI

KWAKO ANAKUFANYIA HIVYO, JE MAMA YAKO?

HUYO NI WA KUPIGA MIKITO TU NS KUMSANUA APAMBANE NA UFALA WAKE

NA KWA KUANZIA LEO NI MARUFUKU KUMNUNULIA HATA CHUPI

BABEQ! NIMEMMAINDI KIKUKU YANI
 
Habari wakuuuu, na changamoto kidogo na mpenzi wangu, nimekuwa nae kwa mahusiano Kama miaka minne ivi mpaka Sasa, time naanza nae mahusiano alinikuta Niko vizuri kiuchumi, kifupi nilikuwa namgharamia Kama ambavyo mwanaume upaswa kumjali mpenzi wake kwa kila kitu, Hali ya kwamba uyo mpenzi wangu Ni muajiliwa serikalini Tena kazi nzuri tu na mshaara wake Ni zaidi ya Million. Katikati apa mipango yangu imeyumba kidogo, nikamuomba aniazime pesa kidogo ambayo nitaongezea kwenye Kodi ya nyumba ambayo hata yeye uwa anafikia akija Dar, kwakuwa kituo chake Cha kazi Ni nje ya Dar, akanijibu Hana pesa wakati najua kwenye account yake mpaka kiwango alicho nacho, Tena kwenye Kodi nilipungukiwa laki mbili tu kwa kwa maaana nilikuwa na million Moja na laki sita yeye aniongezeee laki mbili tu, akadai Hana pesa, dahhh nikaona isiwe tabu nikaongea na mwenye nyumba, Ana nieshimu namieshimu kanielewa Sana na kumbe wasi wasi wangu tu. Baaada ya kulipa iyo Kodi nikawa mweupe Sina hata senti, kwakuwa na miradi yangu mikubwa nje ya mkoa wa Dar nayo ikawa imekaaa vyema ivyo ikanibidi nauli tu niende uko Mkoani nikamuomba elfu 30 tu akanijibu Sina na kuniambia unadhani kila mda Mimi na pesa tu, wakati najua mshaara wake na najua kwenye account Ana kiwango gani??
Nikafanya yangu Mimi nikaenda Mkoani, kaja Dar kafikia kwenye nyumba ile ile aliyogoma kuniazima laki mbili ya Kodi, gari yangu anatumia na mafuta naweka Mimi, chakula changu anakula, starehee naampa, pesa ya matumizi naampa nikikwama yeye mgumu, nampenda ila rohoo ya kumuacha inanijia kwakuwa uyu naona Ni mbinafsi wa kiwango Cha lami....nimfanyeje uyu kiumbe Kama namchoka ivi.
Mimi nawapongeza ,uchumba miaka 4,hongerani
 
Mkuu tafuta hela, halafu siku hizi msamiati wa kumgharamia mwanamke haupo... ni ujinga uliopitiliza. wewe unatafuta wauzaji sio mpenzi. Sasa leo laki 2 tu analalamika wakati manzi kama anakupenda anaweza hata kujiuza ili man wake utoke, sasa kesho ukapata maradhi na huponi hadi ipatikane 2M atatoa huyo?
 
Ukiweza suka mpango wa kumpima.Ujifanye umefulia na huduma zote ukate na umwombe hela ndogo ndogo max 50k kwa ajili ya matibabu n.k.Hata akija nyumbani aone kweli mambo magumu, kama ni friji ni tupu n.k

Mpime uone atareact vipi.
Hii idea nzuri sana uweze kumwelewa
 
NAYAHESHIMU MAPENZI ILA KWA HILI NIMESHANGAA HATA MUDA WA KUOMBA USHAURI UMEPATA WAPI

KWAKO ANAKUFANYIA HIVYO, JE MAMA YAKO?

HUYO NI WA KUPIGA MIKITO TU NS KUMSANUA APAMBANE NA UFALA WAKE

NA KWA KUANZIA LEO NI MARUFUKU KUMNUNULIA HATA CHUPI

BABEQ! NIMEMMAINDI KIKUKU YANI
Hahahaahaaa
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom