babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,068
- 15,924
teh teh usinifikirie vibaya mamiwata hako ndio kaushauri kangu kwa huyu jamaa leo.Mbona mkali sana leo,salama Babu???msaidie mwenzio???ha ha ha ha ha ha!
teh teh usinifikirie vibaya mamiwata hako ndio kaushauri kangu kwa huyu jamaa leo.Mbona mkali sana leo,salama Babu???msaidie mwenzio???ha ha ha ha ha ha!
Hahahahahahahahaa najua unategemea jibu lipi toka kwa mdada...nitakupa nonino LOL!
Huyu mpenzi ananisumbua kweli au ndio aina ya mapenzi yake?
ha ha haa halafu jamii yetu haelewi hicho kilugha,muombe akukabidhi mkewe uje umpe ushauri nasa...ha!Hahahahahah bila shaka ni mambo ya ile line al maarufu! Kujiexpress
mmmmhh kumbe we mchoyo ae...
She/He don't express!
What's she/he want?
Maalim huu utata sasa ...kumbe mupenzi ni HE
Humu wapo wote yawakuta.
Ma HE huwa hawaulizi hili swali...wao hujitwalia tu kitaalamu
mishahara yenyewe ya Kikwete hii si unaweza ukajikuta unai-Dowans serikaliUsikuze sana,wanawake wanaridhika na mabo madogo,leo mletee chocolate,wine,kesho pipi,kesho kanga,kesho yake magazine,kesho yake gauni,kesho yake mtoe out,kesho yake make love to her in a different way which is sweeter,kesho yake,mpigie simu from the office mwambie unamfikiria na unampenda kuliko chochote hapa duniani,kesho yake mletee ticket mwende vacation Dubai au Seychelles,kesho yake mnunulie bikini/gistrine nzuri then cook for her,muogeshe,mlishe,mvalishe nguo,mpake mafuta,mfungulie mlango wakati wa kuingia kwenye gari,mnunulie pia gari,mnunulie perfume,mpeleke kufanya shopping france,lastly,be yourself,she has to love you for who you are and what you can give and what you can not.do not be a slave simply because you love her.
mwambie ntakupa UPUPU
akin'gaka mwambie ndo useme sasa unataka nikupe nini uridhke!!!!!1
Kwani anatumia mtandao gani kwa sasa? I mean chip ya simu yake ni voda, airtel au TIGO?Huyu mpenzi ananisumbua kweli au ndio aina ya mapenzi yake?
Kwenye mabano ndipo nami nahisi anacho taka! Lol
Kwani anatumia mtandao gani kwa sasa? I mean chip ya simu yake ni voda, airtel au TIGO?
Usikuze sana,wanawake wanaridhika na mabo madogo,leo mletee chocolate,wine,kesho pipi,kesho kanga,kesho yake magazine,kesho yake gauni,kesho yake mtoe out,kesho yake make love to her in a different way which is sweeter,kesho yake,mpigie simu from the office mwambie unamfikiria na unampenda kuliko chochote hapa duniani,kesho yake mletee ticket mwende vacation Dubai au Seychelles,kesho yake mnunulie bikini/gistrine nzuri then cook for her,muogeshe,mlishe,mvalishe nguo,mpake mafuta,mfungulie mlango wakati wa kuingia kwenye gari,mnunulie pia gari,mnunulie perfume,mpeleke kufanya shopping france,lastly,be yourself,she has to love you for who you are and what you can give and what you can not.do not be a slave simply because you love her.
Usikuze sana,wanawake wanaridhika na mabo madogo,leo mletee chocolate,wine,kesho pipi,kesho kanga,kesho yake magazine,kesho yake gauni,kesho yake mtoe out,kesho yake make love to her in a different way which is sweeter,kesho yake,mpigie simu from the office mwambie unamfikiria na unampenda kuliko chochote hapa duniani,kesho yake mletee ticket mwende vacation Dubai au Seychelles,kesho yake mnunulie bikini/gistrine nzuri then cook for her,muogeshe,mlishe,mvalishe nguo,mpake mafuta,mfungulie mlango wakati wa kuingia kwenye gari,mnunulie pia gari,mnunulie perfume,mpeleke kufanya shopping france,lastly,be yourself,she has to love you for who you are and what you can give and what you can not.do not be a slave simply because you love her.
Hahahahahaha Men play the game; women know the score! Watch out, hebu mgeuzie swali hilo naye...