Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malimao??Jamani bebiiii!!?????
Mjumbe hauwawi...
Mpenzi wangu kila akija nyumbani kwangu kunitembelea ananukia malimao.
Nikimuuliza, anasema "anapenda sana kunywa juisi ya malimao".
Nimemuuliza, ina maana akija kwangu tu ndiyo ananukia malimao?
Amenuna na kunijibu "jamani bebiii"...
Je, wapenzi wenu hunukia malimao?