Mpenzi wangu kagoma kuhamia imani yangu ili tufunge ndoa

Kuna baadhi ya watu hua mnachukulia mambo kirahisi sana.

"Achana nae tafuta mwingine..!"

Yaani as if mke mwenye vigezo vinavyofaa kuolewa hua anapatikana kirahisi tu hapo nje ukitoka unamkuta kasimama anakusubiri! We jamaa kashasema huyu wamefikia kuoana "baada ya safari ndefu ya mahusiano" sasa iweje waachane tu kirejareja? Halafu mpaka aje apate mtu mwingine watakaeendana ni lini na jamaa anataka kuoa SASA?

"Kwanini haya mambo hawakujadili mwanzo kabisa"

Kwani watu hua mnaanzishaje mahusiano? Hua unakutana na mwanamke na kumuambia " We dada, kuja... mi nataka nikuoe.. we ni dini gani?" Mbona watu mnaongea as if hamjawahi kua kwenye mahusiano? Ivi unapoanzisha mahusiano na mtu, hua unajua immediately kwamba mtakuja kuoana?

Olu in olu, we mleta mada kama huyu dada umekua nae kwenye mahusiano muda wote huo mpaka mmefikia kutaka kuoana, na kila mmoja alikua anaendelea na dini yake, na hujaona tatizo lingine kwake mi nadhani dini ni kitu kidogo sana. Aftaroo dini hizi zimekuja zimetukuta sisi so zisiwe kigezo eti cha kututenganisha. Oaneni kila mtu abaki na imani yake. Kwanza wote ni wakristo nashangaa mnahangaika nini. Kumbuka unaemuoa ni mtu na sio dini.

Ila katika maeneo wazungu walitukamata akili ni kwenye imani aisee.
 
Baada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.

Dini au dhehebu ni kitu cha kiroho na ni imani ya mtu binafsi, hata mngekua wasabato au wakatoliki wote inaweza kutokea huko mbeleni mmoja wenu akaamua kubadilika na hii pia yaweza leta kutoelewana au kutokukubaliana.

Ila mimi nijuavyo ndoa huwafanya mume na mke kuwa kitu kimoja katika kila kitu, kwa ukamilifu na kwa sifa na utukufu wa Mungu.
Ni jukumu kubwa la mwanaume kuiongoza familia yake katika maisha yote pamoja na hili la kuzilinda na kuongoza roho za watu wa nyumba yake kumjua Mungu.

Efeso 5:23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.​


Na katika yote muulizane kwanini mnaoana maana asili ya ndoa sio mapenzi, pesa, mali, cheo, mamlaka... bali Mungu. Nyie wenyewe ni nini kimewasukuma kufunga ndoa

Kama upendo wa ki Mungu basi awajalie kuamua kwa hekima
 
Kuna baadhi ya watu hua mnachukulia mambo kirahisi sana.

"Achana nae tafuta mwingine..!"

Yaani as if mke mwenye vigezo vinavyofaa kuolewa hua anapatikana kirahisi tu hapo nje ukitoka unamkuta kasimama anakusubiri! We jamaa kashasema huyu wamefikia kuoana "baada ya safari ndefu ya mahusiano" sasa iweje waachane tu kirejareja? Halafu mpaka aje apate mtu mwingine watakaeendana ni lini na jamaa anataka kuoa SASA?

"Kwanini haya mambo hawakujadili mwanzo kabisa"

Kwani watu hua mnaanzishaje mahusiano? Hua unakutana na mwanamke na kumuambia " We dada, kuja... mi nataka nikuoe.. we ni dini gani?" Mbona watu mnaongea as if hamjawahi kua kwenye mahusiano? Ivi unapoanzisha mahusiano na mtu, hua unajua immediately kwamba mtakuja kuoana?

Olu in olu, we mleta mada kama huyu dada umekua nae kwenye mahusiano muda wote huo mpaka mmefikia kutaka kuoana, na kila mmoja alikua anaendelea na dini yake, na hujaona tatizo lingine kwake mi nadhani dini ni kitu kidogo sana. Aftaroo dini hizi zimekuja zimetukuta sisi so zisiwe kigezo eti cha kututenganisha. Oaneni kila mtu abaki na imani yake. Kwanza wote ni wakristo nashangaa mnahangaika nini. Kumbuka unaemuoa ni mtu na sio dini.

Ila katika maeneo wazungu walitukamata akili ni kwenye imani aisee.

Kati ya vitu vinavyochangia kuvunja mahusiano ni swala la imani. Na kwa kuwa muoaji ameshaiona hii kuwa changamoto basi sio mbaya akaipatia suluhu.

Ni rahisi kusema kila mtu asali kwake lakini ni ngumu sana kupokea matokeo yatokanayo na kila mtu kuabudu anavyojua na anavyoongozwa na viongozi wake wa kiroho
 
Baada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.
Yaani Watanzania mnaacha kuwa pamoja kisa hizi Dini za mapokeo!? Kumbukeni nyinyi kwanza ni wa Taifa moja,na hilo ndiyo la Msingi zaidi!!
 
Baada ya safari ndefu ya mahusiano tumefikia hatua ya kufunga ndoa ila binti ni mkatoliki mimi msabato mpaka sasa hatujafikia mwafaka nani amfuate nwenzie japo kisheria tumezoea mwanamke anamfata mwanaume lakini yeye hataki na hayupo tiyali kuhama roma.

Dah Bro ndo yamenikuta mimi haya tena kaondoka kabisa hataki chochote kingine kutoka kwangu
 
Yawezekana hukusoma maandiko vyema, nini tafsiri ya mke na mume kuwa mwili mmoja?. Sara na Hajiri walikuwa wake wa baba wa imani Ibrahimu, na vipi ndoa ya bomani,kimila,na dini?. Wewe ni dhahiri unaubaguzi hata vitabu takatifu vinakukana. Hujui ndoa ni kitu gani. Angalia mwishowe utapata mke mwenye tabia Kama za mke wa Ayubu; hapo akili itakukaa sawa. Nyie ndio msio changamana na wasamaria na YESU alisha pata midhihani ya aina ya watu kama wewe pale kisimani.
Kwenye hizi mambo za ndoa msiwe mnaleta Yesu bhana!Leteni vidume wenye kuzijua papuchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom